Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Acha kupotosha watu wewe. Sema kwamba UTI HAIAMBUKIZWI kwa ngono pekee, ina ambukizwa kwa njia nyingine pia. Ila usiseme ngono haiambukizi UTI. Huo ni upotoshaji. Watu wanapata UTI, ukiwa uliza wanakuambia kuwa walifanya ngono zembe.
Kujifanya kila mtu anajua medicine. Kila kitu mnajua. Na STI? Stupid kweli. Muache ujuaji. Ikishaitwa uti huipati kwenye vagina. Mlisoma shule gani nyie?
 
kwa wanaume hiyo ndo njia kuu
Mwanaume umri wa vijana kupata uti asilimia kubwa ina walakini, either mtaalam wa maabara kakubambika au una kinga ndogo. UTI kwa wanaume inawapata vitoto vidogo na wazee maana kinga zao zipo chini, hii kukuta likijana lipo active linasema lina uti ni ugonjwa wa ngono most of the time.
 
Mwanaume umri wa vijana kupata uti asilimia kubwa ina walakini, either mtaalam wa maabara kakubambika au una kinga ndogo. UTI kwa wanaume inawapata vitoto vidogo na wazee maana kinga zao zipo chini, hii kukuta likijana lipo active linasema lina uti ni ugonjwa
Kwahyo mkuu unataka kusema hospitali wanatudanganya? Badala ya kusema tuna STD wanatuambia ni UTI na wanatupa AZUMA??
 
Kujifanya kila mtu anajua medicine. Kila kitu mnajua. Na STI? Stupid kweli. Muache ujuaji. Ikishaitwa uti huipati kwenye vagina. Mlisoma shule gani nyie?
Wewe ndiyo stupid. Unaongea na mtu mwenye uzoefu siyo vitu ulivyosoma darasani. Mtu unapata UTI baada ya kufanya mapenzi na mtu halafu unaleta blahblah zako hapa.
 
Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili

Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne kama masihara anachapa kavu dry na inamtoa Duniani UTI Sugu hawa wanawake sahivi wanaumwa Sana

Location huku Tabata Kuna hatari mpya watu wanakojoa wamechuchumaa watoto wa kiume kisa UTI Sugu.


Rip homies.
Ndo maana Mimi nimejiunga No Fap challenge kwanza Sina hela za kugharamia matibabu
Bora hata huko kupiga Kavu Kwao ila wanapiga Kavu na katika Mlango ambao ndiyo Makao Makuu ya Taka Ngumu zote za huyo Mwanamke aliyenae.
 
Wewe ndiyo stupid. Unaongea na mtu mwenye uzoefu siyo vitu ulivyosoma darasani. Mtu unapata UTI baada ya kufanya mapenzi na mtu halafu unaleta blahblah zako hapa.
Una uzoefu gani? Ata aibu huna. Ndio maana watanzania ata kwenye competitive jobs hamuwezi competition, imagine jitu zima halijui uti ni nini na inapatikanaje, achia mbali sexually transmitted infection hajui, vitu ambavyo kimsingi watoto wa miaka 9-12 wanapaswa kujua, leo jitu zima linakaza mishipa mbaya zaidi sio ata area yake ya profession.
 
Kwahyo mkuu unataka kusema hospitali wanatudanganya? Badala ya kusema tuna STD wanatuambia ni UTI na wanatupa AZUMA??
Kabisa, ni overdiagnosed. Na kuna tafiti zinafanyika sasa hivi maana imeleta usugu wa antibiotics. Azuma ni azithromycin huwa haitibu uti ata siku moja, na daktari anayejitambua anafaham hilo, ila ni kwa ajili ya chlamydia, ambayo ni STD, na dose ikipandishwa ata gono inatibu. Ila sio uti.
 
Mwanaume umri wa vijana kupata uti asilimia kubwa ina walakini, either mtaalam wa maabara kakubambika au una kinga ndogo. UTI kwa wanaume inawapata vitoto vidogo na wazee maana kinga zao zipo chini, hii kukuta likijana lipo active linasema lina uti ni ugonjwa wa ngono most of the time.
Mkuu waache na ujinga wao
Tushaawaambia UTI tunatumia kama tafsida tu hawataki
Ni sawa na kutowaambia ukiwa na typhoid umekula nya
 
Kuna STI na STD.

UTI si ndio STI

niliwahi pata UTI Moja matata sana kwa demu ex wangu mmoja hivi.

Mtoto mzuri sana mrefu, mweupe yeye alikuwa Normal tu ila Mimi Sasa nilihaingaika mwezi mzima.

Na sikuwa umwa hio ishu na nilipata baada ya kuduu kavu nae.

Tangu siku hio sijawahi tembelea Ringi tena sitaki hata kusikia hizi mambo.

Kuweni makini mazee.

Daah nilipata Aibu kubwa hospitali maana madocta wa pale wananijua nikaonekana mzembe nisiejijali.
 
Kujifanya kila mtu anajua medicine. Kila kitu mnajua. Na STI? Stupid kweli. Muache ujuaji. Ikishaitwa uti huipati kwenye vagina. Mlisoma shule gani nyie?
Una uzoefu gani? Ata aibu huna. Ndio maana watanzania ata kwenye competitive jobs hamuwezi competition, imagine jitu zima halijui uti ni nini na inapatikanaje, achia mbali sexually transmitted infection hajui, vitu ambavyo kimsingi watoto wa miaka 9-12 wanapaswa kujua, leo jitu zima linakaza mishipa mbaya zaidi sio ata area yake ya profession

Una uzoefu gani? Ata aibu huna. Ndio maana watanzania ata kwenye competitive jobs hamuwezi competition, imagine jitu zima halijui uti ni nini na inapatikanaje, achia mbali sexually transmitted infection hajui, vitu ambavyo kimsingi watoto wa miaka 9-12 wanapaswa kujua, leo jitu zima linakaza mishipa mbaya zaidi sio ata area yake ya profession.
Nina uzoefu wa kupata hiyo UTI baada ya kufanya ngono. Siyo mara moja tu, zaidi ya mara tatu kila nikifanya ngono lazima nipate UTI. Tunachobishana na wewe ni kwamba unadai kwamba UTI haiwezi kuambukiza kwa njia ya ngono. Hapo ndiyo penye shida. Sijui uelewa wako ukoje. Pia najua natambua UTI siyo STD ila ina ambukizwa kwa njia ya ngono na kwa njia nyingine.
 
Nina uzoefu wa kupata hiyo UTI baada ya kufanya ngono. Siyo mara moja tu, zaidi ya mara tatu kila nikifanya ngono lazima nipate UTI. Tunachobishana na wewe ni kwamba unadai kwamba UTI haiwezi kuambukiza kwa njia ya ngono. Hapo ndiyo penye shida. Sijui uelewa wako ukoje. Pia najua natambua UTI siyo STD ila ina ambukizwa kwa njia ya ngono na kwa njia nyingine.
Ikishaitwa uti mkuu, ondoa neno sex. Mbona rahisi alafu mtu mzima wewe unaamini uti kwa mwanaume ni rahisi? Fanya ata kugoogle wanaume wanaopata uti ni age groups zipi na wa aina gani. Hakuna uti ya kutiana. Labda kama unafanya kitu kingine ambacho sio natural. Ukiingiza kwenye vagina ukauma hiyo ni STD, acha kuchanganya vitu. Wanawake its a different story, sababu njia yao ya mkojo ni fupi sana.
 
Back
Top Bottom