Vijana Kuweni na Busara hata Kidogo

Sifurahishwi na majibu yeyote yenye shabaha ya kutweza utu wa mtu bila kuangalia age ila najaribu tu kufikiria nje ya box katika mazingira ya huku mtaani.

Mtaani hususan huku uswahilini tuna wazee wengi wanaopenda usela, yani wazee vijana wenye habit zote za ujana na wanaopenda kujichanganya na vijana.

Wazee wa aina hiyo sio rahisi kuwaona waki react negative kwa kupewa aina hiyo ya maneno na kijana.

Na hata wao pia unakuta ni watumiaji wazuri wa aina hiyo ya maneno.

Mfano ukipita kwenye vilinge vya ma draft utakutana na wazee wengi hapo vijiweni ambao kwa mionekano yao na sura zao utawaona wana busara lakini wakianza kuongea wakiwa wamekubana kwenye mchezo wa draft ndio utajua kuwa wahuni nao wanazeeka.

Kwa hiyo unaweza ukam-judge jamaa kwa sauti yake na lugha aliyoitumia kwa Mzee lakini usijue ya upande wa pili kwasababu sauti yake hujaisikia ni aina ya kauli gani aliyoitoa huyo Mzee mpaka huyo kijana kufikia kusema hivyo.
 
Hatari, ila kijana yupo kazini na hataki mazoea na inaonesha ni wazi hakumuajiri kwa kumuonea huruma ila alimuajiri kwakua alimuamini anaweza kupiga kazi vizuri.
 
Mkuu achana nae kiustaarabu tu. Umri wa huyo mzee ukimgusa utajitafutia murder case uiache familia yako kwenye matatizo.
 
Mkuu achana nae kiustaarabu tu. Umri wa huyo mzee ukimgusa utajitafutia murder case uiache familia yako kwenye matatizo.
Ningekuwa na namba yako Kaka ningekutumia alichonifanyia site alafu namwambia anacheka eti anakumbushia kipindi anaanza ufundi Ila pia mafundi hawajawahi kula hata Mia anakula yeye mwenyewe .

Finally ananitishia maisha huyu mzee
 
Mkuu makuzi yangu nimefundishwa namna ya kuongea na wakubwa,hasa wazee, I'm not judging. Ila busara kidogo haiumizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…