Msomi wa MNGETA
Member
- Mar 6, 2019
- 59
- 103
Haaaaaaa mngeta sehem gani mkuu?Upo sahihi kabisa, hilo mimi nimelishuhudia mwenyewe bibi yangu alikuwa anamiti mingi sana ya mitiki huko morogoro kijiji cha Mngeta kama ID yako inavyosoma [emoji16] mwisho wa siku ardi yote hakuna kinachomea, hadi majirani wakaanza kulalamika, tuliuza yote, ila bei yake ni nzuri.
Kuhusu lifespan yake sina uhakika kama ni miaka mingi sidhan kama inazidi 20
Wewe msomi wa Mngeta unatokea maeneo gani pale? Lukolongo, Mkangawalo, kotako au Mchombe?
Hilo bonde la Kilombero kuanzia Kidatu, Msolwa, Sanje, Mkula, Sonjo, Mang'ula,Kisawasawa, Kiberege,Signal, Ifakara, Idete, Namwawala, Mbingu, Mngeta, Ikule, Chita, Udagaji, Chisano hadi Mlimba nilishapita sana miaka ile nilipokua nafanya biashara ya kununua mchele.
Achilia mbali upande wa Mahenge na Malinyi.
naskia za zaman ndo nzuri zina ladha..kuliko hizo mpya..yan naskia hizo mbegu fupi hazina ladha
Umelikauchia swali langu sio, OK sio mbaya.Yes mbegu za mda mfup wanazo pia ambazo zinaanza kuzaa kuanzia miaka 3 though wananchi wengi wanatumia zile za asili za zamani
Kwani hiyo miti ikoje wakuu picha tuone inafananajeWewe unataka radha ama unataka mbao!
mitiki ipo soft na hard mkuuKweli mkuu nimeshangaa hiyo miaka ya mavuno aliyosema mleta mada.
we umelima japo eka mojaWakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM
Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki
Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji! Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi
Maeneo ya kununua mashamba ni mengi kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile
Sasa cha kufanya ni wewe kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazidi laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!
Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda hadi 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!
Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]
Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
nakutumiaKwani hiyo miti ikoje wakuu picha tuone inafananaje
we umelima japo eka moja
Kwani hiyo miti ikoje wakuu picha tuone inafananaje
Kweli best sitanii niko serious mpenzi nitumie.😂😂😂haupo serious..nitakutumia picha
Kweli best sitanii niko serious mpenzi nitumie.
Yes ni kweli na pia hizi za kisasa life span yake ni ndogo mno kuanzia miaka 15 mpaka 20, lakini mbegu za asili ni life span ni 50+ ndomana wakulima huipendelea.
hapana siwezi fanya ivo mkuu, kuna mdau kwa chini niliona kama amekupa ufafanuzi flani that is why. but tupo pamoja sana mkuu wala usijali.Umelikauchia swali langu sio, OK sio mbaya.
Nilichukua contact za wadau na pia walinijulisha kuna center inayoshughulikia zao hilo la nazi apo bagamoyo kwaiyo kuanzia mbegu na taratibu za upandaji wanaweza kushauri, niliwaahidi ntawarudia tena mwezi 4. Niliwapa tasks ya kuniangalizia mashambani porihyo ya asili ndo yenyewe..mbegu unapata wap
Hahaha...faida na hasara tena?Thanks. Weka namba yake hapa na mchanganuo wa faida na hasara. Ila wazo ni zuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wanasoma post ya kwanza tu, hawasomi majadiliano yanavyoendelea, wana-changia bila kusoma baadhi ya michango! Ndiyo maana ...vingine wanavyoruka vinawapita.Nahis kma kuna kaugumu kuelewa..hyo ni mbegu ya zaman..zimekuja mbegu mpya F1[emoji4]..!tatizo tunajiangalia tu sisi wenyewe..yaan unajipigia umri wako ww tu..Dingi analima balaa..imagine ana 76yrs[emoji23][emoji23]..sasa jiulize nan ataifaidi..ni wanaye na jukuuz!
[/QUOTE]Bangi sio kitu kizuri mie nimemqoute wa nazi za bagamoyo...kuna mbegu ya muda mfupi lakin naskia haina harufu ile ya nazi..sanchez amesema bgamy anataka kipanda nazi ..
sasa ladha kwa mitiki wapi na wapi slim😉😉
QUOTE="Slim5, post: 30662764, member: 196493"]Wewe unataka radha ama unataka mbao!