theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Hakuna asiyetamani one ya tatu sema tu ndio vile uwezo unatofoutiana kati yetu.....Nimejifunza kitu ila sina nafasi tena mimi umri ushapita but naitamani sana ya 3 mimi nilipata ya 6 mkuu but still nawaza kwann sikumake wonders?
Kumbe bado hujajua siri ya maishaAkili yako wewe ni ya kutafuta pesa, huna akili za darasani. Vitu vingine muwe mnakubali mmekosa.
Kwa hiyo unatuambia na wewe ulipata 1.3 !?Dah ulitumia njia kama nilizotumiaga Mimi
Jamaa ana point kweli ila ana majivuno mengi.Unaweza kua na points nzur lakin taarifa yako imetawaliwa na ujivuni mwingi na sina hakika km inaweza kua na msaada kwa wanafunzi wengi zaidi watapotea kama watafata ushauri wako as ulivyoupresent.
Kumshauri mtu asome apate one ya 3 ni lazima awe mtu unaefahamu uwezo wake na speed yake ya kuelewa na kukumbuka vitu, mtu aliepata C ya Maths or Chemistry akifata njia yako atatoka na S advanced.
So its a good thing na hongera kwako but ushauri wako ni mbovu sana, umetawaliwa na majivuno na sifa nyingi.
Swali zuri.Hongera kwa mafanikio hayo. Ila mkuu umekwama wapi kuendeleza mafanikio hayo katika maisha halisia? Maana kuna bandiko lako la kutaka kuiba bank m5 kisha uache kazi. Hivi enginia unakosa uwezo wa kupata Mil 5 kwa njia halali mpaka kufikia kukuachisha kazi inaonyesha upeo wako wa maisha na fedha ukoje. Au pengine hizi data sio za kweli...
Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
Mtamfanya ahamie Kenya Talk kwa maswali haya maana ni magumu kweli kweli .Ila akikujibu jibu sahihi usikose kunikumbuka nikuje kusoma.Hongera kwa mafanikio hayo. Ila mkuu umekwama wapi kuendeleza mafanikio hayo katika maisha halisia? Maana kuna bandiko lako la kutaka kuiba bank m5 kisha uache kazi. Hivi enginia unakosa uwezo wa kupata Mil 5 kwa njia halali mpaka kufikia kukuachisha kazi inaonyesha upeo wako wa maisha na fedha ukoje. Au pengine hizi data sio za kweli...
Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi
Mkuu watoto wako usiwapeleke shule. Waishie darasa la 7 then uwape Elimu na Skills za mtaakwenye miti hakuna wajenzi.. yaani na ma AAA yako yote umeishia kuajiriwa serikalini kwa mshahara wa hazina... ma scholarship yote yaliyojaa duniani umeyaacha unahangaika na forex na mwisho wa siku unatapeliwa na wadogo zako kina ontario...
wahuni wana div 3 za mwisho tena za HKL ila ajira za maana kwenye mabalozi.. au wanajiajiri wenyewe wanagombania tenda na kupiga hela..
nashangaaga sana best students kuwaona udsm... ukikomaa kweli kweli na ukawa na washauri sahihi unatembea mapema sana.. bongo nyoso
Sorry ,amegundua nini mpka sasa?Kuna jamaa tulikuwa naye PCM aisee balaa; tangu form five sikuwahi kuona anaandika notice; yeye alikuwa na makaratasi tu anaandika mambo yake mwingine huelewi kitu. Hasomi kazi yake ni kuzunguka kwa room za wenzake kupiga soga. Ukishidwa swali nenda kwake anaku solvia fastaa ka machine; jamaa aliondoka na point tatu.
Akili inatokana na genetic ya ukoo; hizi zetu za kuungaungaa aisee unahangaika sana.
We acha mkuu hao wanaoponda ni vilaza tupuHakuna asiyetamani one ya tatu sema tu ndio vile uwezo unatofoutiana kati yetu.....
So bwana CCNP ni ruksa kufurahia misonge yake Mkuu nashangaa watu kwanini wanamkosoa ingawa najua fika kila mtu moyoni alikuwa anatamani kupata one ya saba o level.... one ya tatu advance na chuo kutoka na GPA ya nguvu.....
Kufaulu kwa maksi kubwa kuna raha yake asikwambie mtu....
Usisite kunitafuta mapema kabla hizo symptoms n signs zako za clinical depression hazijawa worst tukakupoteza mkuu. Wala sikutishi mkuu, ila Trust me, i know nachokisema.Umesikia wewe mtaalamu wa kutoa mimba za makahaba pale Tegeta kwa Ndevu...
Majivuno lazima niwe nayo sababu nilikomaa shule na mwisho wa siku malengo nilokua nayo nikayatimiza...
Na wewe weka malengo yako yatimize ujivunie...
Acha ufala dogo langu... France walikua na lengo la kubeba WC ya pili, na kweli wamebeba, kwahiyo wasijivunie???
huyo jamaa anaitwa nani boss ...usikute ndo mimiKuna jamaa namjua alimaliza na 1st class with distinction BSc; ila jamaa poa sana yupo mechanical eng pale mlimani ni DR.
Tulianza kumwita engineer tukiwa form II pale Moshi Tech baada ya kufumua mtihani wa form II averange ya 86 masomo yote 11 mabanda tupu . Form four akapiga 7 mabanda 9 yote hadi bible knowledge. Akaenda Dar Tech record zake hakuna aliyevuja; akaenda mlimani ikawa balaa tupu.
.
Jamaa yupo poa sana hana mineno mingiii... naanza kupata wasiwasi na huyu msomi wetu.