Vijana mliopo A-level: Technique rahisi nilizotumia kupiga Division One ya 3 form six bila kukesha darasani

Dogo unazingua, acha misifa ya kijinga. Kaa utulizane jinsi ya kuwasilisha mambo.

Pitia jamii forum mwanzo mwisho uone Kama kuna mwanaume amejisifia kupata point 3.

Wanaume hatujazoea hii kitu. Aidha unajipa moyo kwa sababu hujafanikiwa ulivyotaka hivyo unataka watu wakurecognise.

Shwain mwenyewe. Eti my mum was happy. Te he te he. Tutakupa heshima kwa jinsi ulivyo, sio kututisha na AAA.
 
Ujivuni na kujiona zaidi vinaweza kumfanya mwerevu akawa mjinga.
Mpongeze dogo alikunja 1.3(PCM) , 4.6GPA (First class)

Mimi ,nawafatilia tu hawa vijana kwenye mjadala wao ,maana kuna vingine vinanichekesha tu na vingine vinafurahisha
 
Unavyosema ni sahihi. Kitu kimoja nitofautiane nae ni hili la kuwashauri kusoma bila kuwa na ratiba. Mimi naona, watu tunatofautiana kwenye uwezo wa kuzingatia mambo. Usipokuwa na ratiba unaweza ukakosa focus. Ratiba ni muhimu sana ni kama plan of action. Plan of action isipokuwepo huwezi kujua kama umefanikiwa katika kukamilisha jambo fulani. Isipokuwa nakubaliana naye kwamba kama ratiba yako kusoma somo fulani, uhakikishe unadeal na topics ambazo you are not conversant.! Kitu kingine nachokubaliana naye ni swala la muda. Vijana wengi wanapoteza muda sana mchana kwa kufanya vitu visivyo muhimu, na matokeo yake wanaona wacompasate muda wa usiku. Hii ni mbaya sana, kwani ni muhimu kutumia muda wako ipasavyo kwa kutimiza majukumu yako ya kiuanafunzi, yaani kujifunza.
 

Ungekua ulipata angalau division three usingetukana. Pambana na hali yako
 
Kusoma nikitu kingine mkuu watu wamesoma hadi wanatoboa ozone lakini matokeo madogo,habari ya kusoma inahusisha na IQ ya MTU na mtu
 
Mm mwenyew nimesoma advance PCB naelewa Masomo yalivokuwa magumu hongera Kwa ufaulu wako Kama Kweli uliyofanya n Kweli
 
real nimekukubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…