Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

Kuna dem kazaliwa 90 mwaka 2005 kazaa mtoto, mtoto wake nae kazaa mtoto mwaka huu 2023. Kwa hiyo huyo dem wa 90 ana mjukuu. Vipi nae atoweke duniani? Vipi vizazi viwili atakavyoviacha havitakuwa kama yeye?
Aondoke haraka sana kwasababu anahamasisha watoto wafanyaje ujinga kama wake
 
U
Habari zenu

Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya

Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni

Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu

Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.

Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Umevurugwa au stress za maisha????!!!??
 
Habari zenu

Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya

Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni

Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu

Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.

Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini

Mkuuu naomba usitufokee tafadhali umesahau kuna kizazi cha 2000 ndio balaa kuliko usije ukawa unatufananisha nao maana tukisimama nao sisi ni wadogo kuliko wao wakati kiumri tumewazidi
 
Mkuuu naomba usitufokee tafadhali umesahau kuna kizazi cha 2000 ndio balaa kuliko usije ukawa unatufananisha nao maana tukisimama nao sisi ni wadogo kuliko wao wakati kiumri tumewazidi
Asilimia kubwa ya kizazi Cha 90 wengi wanajifanya wamezaliwa 2000. Reference nenda tinder au badoo angalia walio kwenye huo mri utagundua wengi wao ni vikongwe vya 90 ila vimeamua kuwachafulia wa 2000
 
Habari zenu

Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya

Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni

Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu

Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.

Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Nyie kizazi cha 2000 ndio mnaongoza kwa kufeerwa hovyo mkiongozwa na washenzi wakuu Gigy na Amber tigo. Mungu alete gharika tu awafyeke
 
Mkuu itakuwa umechanganya na kizazi cha 2000 maana hao ndio wapo mjini kwa sasa na ukisikia graduation za vyuo ujue ni wao. Kizazi cha 90 wengi wanaingia 30's na kwa umri huu ni ngumu kukutana na hizo tabia

By the way usipanic mkuu, kwenye natural selection ya vifo, kizazi cha 70 na 80 ndio kinaingia kwenye uzee na kama wewe ni wa 60 au 50. Ni vyema ukajiandaa kupumzika bila stress za dunia mpya maana uliyotakiwa kufanya duniani ushayafanya, kwa hiyo usijihangaishe na vitu vitakavyokupandisha presha na kisukari
 
Asilimia kubwa ya kizazi Cha 90 wengi wanajifanya wamezaliwa 2000. Reference nenda tinder au badoo angalia walio kwenye huo mri utagundua wengi wao ni vikongwe vya 90 ila vimeamua kuwachafulia wa 2000
Unaijua tinder na badoo halafu bado unajipa moral authority ya kuhukumu kizazi cha 90's

Mkuu kama wewe sio wa 90's na 2000 bhasi kuna shida mahali. Huwezi kushinda tinder na badoo ukategemea ukutane na malaika. Nyie endeleeni na biashara zenu bila kutusumbua tusiohusika
 
Back
Top Bottom