Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

Vijana mliozaliwa Miaka ya 90 naomba mpite hapa Kuna ujumbe wenu

Habari zenu

Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya

Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni

Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu

Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.

Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini

Wamekufanyaje tena hawa vijana mkuu? Haya ya kwa mpalange we umejuaje wenyewe ndo mafundi? Kuna namna hapa wamekutenda hawa vijana
 
sisi ndio wa kusema,mpaka 2025,tukabidhi kijiti kwa watoto wa 2000
IMG-20231202-WA0041.jpg


Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Kizazi cha 90 mitkasi yao kubwa ni usanii,uchawa tu
Watoto hao wote sahv wanataka wawe wakata mauno tu

Ova
 
Wamekufanyaje tena hawa vijana mkuu? Haya ya kwa mpalange we umejuaje wenyewe ndo mafundi? Kuna namna hapa wamekutenda hawa vijana
Haya mambo mi sipendagi kuyasema ila inabidi niyaseme tu... Juzi kunasehem nilikua napata kinywaji baridi mbele yangu Kuna kijana (naye ni wa 90) alikua ameketi,, Kuna muda alisimama Ili aongee na muhudumu ghafla nikaona kwenye suruali yake Kwa nyuma ameloa Kwa haraka sikutilia maanani kwasababu hayo mambo Miaka yetu hayakuwepo mi nilijua amekalia maji Kwa bahati mbaya, alivoketi Kuna jamaa nilikuwa naye akaamza kufunguka kwamba huyo kijana analiwa kisamvu na hapo mtaani wapo wengi sana walioharibiwa Kwa kupenda mteremko..kufupisha stori naomba niseme lengo la Hawa vijana wa 90 sio zuri wanatuharibia vizazi vijavyo
 
Tinder na badoo uliijuaje mkuu.
Yani ukafanye research dating sites ambazo ni sawa na kuenda kufanya survey ya true love kimboka au riverside ??....

Halafu watoto wa 90 wanakuwaje chanzo cha matatizo ilhali walizaliwa na hivyo vizazi vilivyopita??...

Kwa nini usilaumu vizazi vilivyopita kwa parental failure

By the way siamini upo serious mkuu kwa hiyo conclusion [emoji16][emoji16]
Yesu mwenyewe alikuja kwaajili ya wenye dhambi na hakubagua hata Makahaba kama Rahabu, Mleta mada asiingie huko Tinder na Badoo kufanya utafiti kwa lipi haswa?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo mi sipendagi kuyasema ila inabidi niyaseme tu... Juzi kunasehem nilikua napata kinywaji baridi mbele yangu Kuna kijana (naye ni wa 90) alikua ameketi,, Kuna muda alisimama Ili aongee na muhudumu ghafla nikaona kwenye suruali yake Kwa nyuma ameloa Kwa haraka sikutilia maanani kwasababu hayo mambo Miaka yetu hayakuwepo mi nilijua amekalia maji Kwa bahati mbaya, alivoketi Kuna jamaa nilikuwa naye akaamza kufunguka kwamba huyo kijana analiwa kisamvu na hapo mtaani wapo wengi sana walioharibiwa Kwa kupenda mteremko..kufupisha stori naomba niseme lengo la Hawa vijana wa 90 sio zuri wanatuharibia vizazi vijavyo

Mnaowaharibu nini nyinyi wazee wa 60, 70, 80
 
Ebu Jifahaminishe kidogo na Historia..., Anzia kwenye Rolling 70's alafu nenda pale Rome ukutane Orgies zilizokuwa zinatokea alafu rudi ulizia bibi zako walikuwa wanaolewa au kuchumbiwa wakiwa na miaka mingapi ?

To each their own....; ukishaona unashangaa waliopo nyakati husika tambua umezeeka au kupitwa na wakati
 
Masiha aliyepita alikuwa na umri wa miaka 33.
Masiha anayefuatia atakuwa na umri wa miaka ishirini na tano.
Kwa hiyo it is intended kwamba vijana waosheshe njia ya kuondokana na matatizo yetu.
 
Kumbuka kwa sasa hata Wazee wanautamani Ujana, ndo maana wanatembea na visichana vidogo.
 
Back
Top Bottom