Duh! Kama mjukuu ni wa kike huyu bibi akifika 46 tayari atakuwa na kitukuuKuna dem kazaliwa 90 mwaka 2005 kazaa mtoto, mtoto wake nae kazaa mtoto mwaka huu 2023. Kwa hiyo huyo dem wa 90 ana mjukuu. Vipi nae atoweke duniani? Vipi vizazi viwili atakavyoviacha havitakuwa kama yeye?
Sawa nakubali shida IPO kote ila nao wanajiendekeza sana. Miaka yetu hakukua na shisha hivyo ilikua ni vigumu kuwakataza matumizi ya shisha... Miaka yetu kulikua hakuna kujirekodi video (hili wamalitafuta wenyewe lipo nje ya malezi)Kwa kweli hivi vizazi vipya vinavyokuja kuanzia na mwaka 1990 kwenye upande wa maadili ni majanga na hili ni kosa la wazazi wao kushindwa malezi, kwa hiyo badala ya kuwashambulia tuangalie na chanzo pia.
Tume warithi nyie mababu zetu.Habari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni
Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu
Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.
Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Akina Elton John ni wazee wameolewa na wana watoto wanawaita mama kabisa ila tumekausha, wanadhani hatujuialafu nyie mnaojiita vijana wa zamani mliendekeza tamaa za mapenzi mapaka kwa sokwe mkaleta mpaka UKIMWI na hatulalamiki wala nini[emoji28][emoji28][emoji28]..acha masimango,tukisema tuwalalamikie nyie mtatamani dunia ipasuke mjifiche humo.
Mbona wewe ulihitimisha kuwa eneo alilofanyia uchunguzi ni mojawapo ya kigezo cha yeye kuwa mdau wa mambo hayo?Ni kweli mkuu ila context ya anachokifanyia research na eneo husika sidhani kama vinaendana. Ni sawa na ufanye conclusion ya tabia za watu wa dar kwa kufanyia utafiti kimboka pekee
Kizazi chetu hiki balaa, ni basi tu Mungu si Kigeugeu sababu alishaapa kutoiteketeza hii dunia hadi "ujio wa mara ya pili wa Yesu".Kwahiyo hayo yanafanya na 90's tu? Sodoma watu walikuwa wanaenda kwa mpalange kama buza
Yesu anahusika sababu alipokuwa duniani aliishi maisha ya utakatifu kutufunza sisi Binadamu maisha mema.Sasa kwann unamtaja Yesu APA amefikaje [emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@mtoto wa taifa...umejua kunivunja mbavu mkuu...yaani kusema ukweli sisi wa90 tunazingua sanaa....yes mtoa mada yuko sahihi nikizazi ambacho utashangaa wengi wao bado wako nyumbani kwa wazazi wao,wengine wapo tu ukimuuliza anasema sina mishe yoyote hajali wala hashituki ...nikizazi ambacho bado tunahisi mda uko upande wetu.Kuna dem kazaliwa 90 mwaka 2005 kazaa mtoto, mtoto wake nae kazaa mtoto mwaka huu 2023. Kwa hiyo huyo dem wa 90 ana mjukuu. Vipi nae atoweke duniani? Vipi vizazi viwili atakavyoviacha havitakuwa kama yeye?
Tatizo ni sisi! Ndio hivyo buana! Hayo maadili ulitaka apewe na dada wa kazi eeh? Au mama/baba mwenyenyumba? Wewe na mkeo mliona fahari ya ufahari ni wewe na mamaye kutoka lukwiri kurudi alfajiri! Ukiwa na maburungutu ya noti mfukoni au mikate ya sia na kuku wasio na baba!Habari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni
Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu
Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.
Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Hapana nakataa....kitendo Cha kijana wa 90 kukaa kwao au kukaa Kwa shemeji sio vizuri na haitakiwi kufumbia macho kama hamuwezi kutafuta kazi nendeni mkalime maana mashamba yapo mengi tu(hili nalo hamtaki).Wa miaka ya 90/tumeshazeeka itakuwa umetuchanganya na wa 2000
Badoo nilijunga kitambo sana ila sikukaa wiki nikatoka maana kule ni biashara tu. Hakuna relationships wala friendships
Yeah kalikuwa kananipiga mzingaKutuma pesa au nini?
Sasa itakuwaje???Habari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio sehem ya kufanyia huo ufuska wenu, hapo Bado sijazungumzia mnavyopenda Kwa mparange, yaani hiki kizazi IPO siku kitatuletea moto kutoka mbinguni
Hiki kizazi kinashusha uchumi wa nchi wao wanachojali ni kulewa mapombe na kuvuta mishisha tu hawajali hata kujenga wao kazi yao ni kuomba Hela na kukaa Kwa wazazi wao akijitahidi sana basi ataenda kukaa Kwa shemeji yake,, sasa kizazi kama hichi ni Cha nini hapa duniani kama sio kipo kwaajili ya kututia umaskini tu
Kwenye mmomonyoko wa maadili huko ndo usiseme yaani saiv mpaka tunaogopa kuwaacha watoto nje maana mnayoyafanya pamoja na mavazi yenu yanatuharibia watoto wetu, tumechoka kuwaona mkivaa vijora bila nguo za ndani mnahamasisha na kuwafunza vibaya watoto wetu.
Kwa Leo naishia hapa ila Kila siku nitakuja namwaga nyongo hadi muanze kujiua mmoja mmoja Ili tuishi Kwa amani. In short nyinyi kizazi Cha 90 hatuwapendi Bora mtupishe mkaishi huko maporini
Yaaani mnajua kwenda na fashion trendsSasa tusivae nguo jmn tukae uchi, eti hawana kazi nzuri πππ
Mbona wewe ulihitimisha kuwa eneo alilofanyia uchunguzi ni mojawapo ya kigezo cha yeye kuwa mdau wa mambo hayo?
Sawa na kujumuisha wote wanaochili maeneo ya baa ni Wahuni/Malaya #HAPANA.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app