Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Aisifuye mvua imemnyea…
Pole sana mkuu kwa matarajio makubwa….
 
Bujibuji umenena cha maana sana. Shime vijana acheni tamaa ya kupitiliza hadi kuingizwa kwenya ushoga.
 
Nakuunga mkono Kuhani wa hekalu jeusi
 
Mbona tunapenda kudanganyana jaman. Nani kasema kuwa ukifanya ushoga unajifungia baraka zako? Au unamaanisha baraka ya kurithi ufalme wa mbinguni? Maana wapo watu wamefanya ya ajabu na bado wanaendelea kuongezewa tuu katika ulimwengu huu wa shetani
 
Kutetea mashoga sababu kuna wanaofanya ushoga kinafiki ni kutetea ushoga.

Kuna makundi mawili tu katika hii laana:
1. Wanaopinga ushoga.
2. Wanaoupigania ushoga.

Mengine yote ni style tu za maelezo.
 
Ushoga si hitilafu, ni mazoezi ya ubongo kuamini kuwa mahitaji ya kingono yanaridhisha yakihusisha njia ya haja kubwa na uume wa mwanaume mwingine.

Hakuna itilafu hapo, ni sawa tu na fantancy nyingine kama kunyonyana ndimi, viungo vya uzazi n.k ni mtu anatrain ubongo kuamini hivyo au anasaidiwa kuutrain tangu akiwa kijana mdogo. Na hii inatokana na udadisi usio na mipaka.
 
Kutetea mashoga sababu kuna wanaofanya ushoga kinafiki ni kutetea ushoga.

Kuna makundi mawili tu katika hii laana:
1. Wanaopinga ushoga.
2. Wanaoupigania ushoga.

Mengine yote ni style tu za maelezo.
huyo Matawi ya juu Ni shoga pia, halafu anatolea mfano misikitini,wakati mapadri ndio Wana kashfa ya ufirraji kila uchao mbwaa huyu
 
Kuna ushoga wa kuzaliwa na ushoga wa kujifunza. Siyo mashoga wote wamejifunza, kuna wanaozaliwa na hali ile. Umeshasikia au hata kuona watu wanaoonekana ni wanawake kabisa lakini wanakuwa na ''kajinsia'' ka kiume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…