Vijana msidanganywe na maisha ya mtandaoni ya mashoga, hawana utajiri wanaouonyesha

Kuna ushoga wa kuzaliwa na ushoga wa kujifunza. Siyo mashoga wote wamejifunza, kuna wanaozaliwa na hali ile. Umeshasikia au hata kuona watu wanaoonekana ni wanawake kabisa lakini wanakuwa na ''kajinsia'' ka kiume?
Hakuna anayezaliwa Shoga acheni kudanganya watu jitu linazaliwa zima tu baadae linakuwa shoga lenyewe
 
Safi umewachana vizuri hawa makatekista feki.
 
Well said [emoji122]
 
Leo ndio nimeona ushoga wa kutisha huko tiktok jamaa ni mwanaume kajibadilisha jinsia kabeba mimba na kazaa mtoto bila oparesheni then anamnyonyesha na kumfanyia kila kitu kama kina mama mtoto ndio anaanza kutembea...

Uovu humu duniani unapita kiasi shetani mwenyewe haamini anachokiona, Mungu tu atuokoe na hili dhoruba
 
Na wewe kuwa shoga
 
Martin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k

Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Eminem ameoa na kuacha mara mbili achilia mbali mamia ya bitches wa pembeni na alipiga kwa rihanna vilevile. Ukilinganisha jamaa anawatukana sana hayo mafaggot kwenye ngoma zake.
Mtoe mwamba kwenye hiyo list ya mafala unawavunjia heshima fans wa hip-hop ngumu na king of hip-hop mwenyewe.
 
Kwa maana hiyo wewe utakubali kuona mtoto wako wa kiume anafanyiwa huo ufirauni?
Yaani utatetea mtoto wako wa kiume awe anafanyiwa upumbavu na mwanaume mwenzake?

Utamtetea kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…