Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
No, hicho kitu sithubutu na siwezi hata kufikiria sababu hakitatokea.Akiwa gay or no gay atakuwa mwanangu tuu hata kama sikubaliani naye, wewe vipi utamuua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No, hicho kitu sithubutu na siwezi hata kufikiria sababu hakitatokea.Akiwa gay or no gay atakuwa mwanangu tuu hata kama sikubaliani naye, wewe vipi utamuua?
Sisqo wa Dru hill? Au mwingineMartin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Ni kipande cha comedy movie inaitwaThe Interview 2014 ya seth rogen.Kuna mwamba kasema ile clip aliyokiri kuwa naye ni muumini ilikuwa ni prank, hivyo pengine ni sahihi kuwa sio muumini pia.
Kuoa, kuacha, kupiga kina Rihanna n.k inawezaje kuwa ni sababu ya kupinga? Nimesikia kuna msanii maarufu huko Nigeria akisemwa kuwa amepatwa na shida, aliyemsema ni mwandani wake, ni kwa muda gani, sijui!
Mtoe Eminem hapo!! Usiropoke bila kufuatiliaMartin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
Hahahahahhaha...Yupo busy kalalia godoro la kaka muarabu linalota usingizi wa wiki nzima huku akiwa kapiga tight yake aliyopewa na kaka muarabu.
Idondoshe tuioneeKuna picha kavalishwa pajama za kinamama kabisa anatangaza vyumba vya palm village
Hiki ndicho nilichoelezea kwenye thread nyingine muda mfupi uliopita. Nchi yetu ina janga la watu kutosoma kwa ufahamu na kutafakari. Wewe ni mmoja ya wahanga wengi sana. Elimu? May be!We nishoga..?
Nenda kwa milladIdondoshe tuionee
Hata Eminem ni shogaMartin, Paul, Ommy, Mtimkavu, Noel n.k
Elton John, Sisqo, Yule mshikaji wa prison break, Eminem n.k
Dudu alisema wabongo fleva wengi ni jinsia ya 3, kuna ukweli?
aiseeSisqo
Kumbe anapumuliwa kisogoni ila watz siwaminigi unaweza zushiwa kitu kibaya kwa wivu tuYule sharobaro kapiga picha juzi pale Manchester aise naona vijana wengi wanatamani kuwa kama yeye, hata muziki siku hizi haimbi tena
Coni sababu ya kumzushia na hkn ushahidi wowote tuache chuki tuUshoga upo ila huyo msaani msimuite shoga maana hamna evidence zozote
Bwan matawi Ni kweli ushoga upo na Kuna wanafiki wengi Sana wanafanya hakun was kumuamini juu ya swala hiliPambana na hali yako acha kutishia watu, wewe kama ni shoga utakuwa shoga tuu na kama sio shoga hautakuwa shoga , mafanikio hayana uhusiano wowote wa kuwa shoga au laa, good chance hiyo computer unayotumia ni apple na CEO wa apple ni shoga ambaye ni one of the best in business na ni millionaire (successful), mabilioneo wengi wa Hollywood ni mashoga ,wall street & Washington ambako ndio mnaomba ruzuku kulipa mishahara yenu ni mashoga watupu,halafu watu wa dini ndio mmejaza mashoga huko makanisani na mna kesi kila kona ya ulawiti, huko misikitini nasikia waarabu wote wana boyfriends, wanaume na wanawake wengi bila kuingiliana huko nyuma ni kama hawajafanya tendo la ndoa, acheni unafiki nyie, mimi sio shoga lakini nitawatetea mashoga kutokana na wanafiki kama nyie mnaojiona watu safi kumbe dhambi tupu
DuhSijui, alikuwa anakaa Upanga, alianza na.punga kabla hajawa boflo. Punga ilipigwa life ban.
Vijana wa leo kwa ile mikwara ya Boflo wangemkanyaga sana. Akiomba namba ya simu ukimpa tu, anakurushia laki, akiomba mkutane anakurushie laki nyingine ya taxi
[emoji23]Whenever i see your posts.... namkumbuka GiLEsi mwenye wowowo la kutikisika hadi kumshinda control...
Allah aturehemu.
Sisqo!!!??? Sina imani nae
Ni kweli kabisaDunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.
Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.
Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.
Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.
Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.
Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.
Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Lakini alikuwa anavivaa🤣Hahahahahhaha...
Tena alikuwa ana mshangaa kaka mwarabu akimpatia kanga na vitenge avae
Sio mashoga tu hata wanawake wanaojiuza na kusagana.Shida tuliyonayo ni vijana wa sasa hivi hawapendi kusikia ushauri hata utumie mbinu gani, ni wachache sana walio wasikivu.Tumeamua kukaa pembeni tunawaangalia tu yaani yetu macho na masikio.Mtoto akililia wembe usimnyimeDunia iko kwenye kipindi cha ajabu sana kuwahi kutokea, kuna campaign kubwa sana ya kuhamasisha ushoga na kuwashawishi vijana waingie kwenye mapenzi ya jinsia moja wakidanganywa kwamba maisha yao yata rahisishwa na yatakuwa ya kifahari yaliyogubikwa na utajiri uliopitiliza.
Kuna mashoga kadhaa wamekuwa wakitumika kama kioo cha kuwahadaa vijana wengi, muongoni mwa mashoga hao ni kijana mmoja ambaye anainekana akiivinjari dunia akila raha za kila aina.
Vijana nawaonya, ushoga una majuto makubwa, matarajio makubwa mapato kidogo, stress, kujidhalilisha na kudhalilishwa.
Ushoga unafungua mlango wa laana na mauti, mshahara wa dhambi no mauti.
Pia ukifanya dhambi ya ushoga nakuhakikishia utakuwa umeukaribisha ushoga kwenye uzao wako.
Utazaa watoto mashoga na utapata wajukuu mashoga. Dhambi ina utamaduni wa kurithi vizazi na vizazi.
Pia dhambi ya ushoga hufunga milango yako ya baraka. Biashara zako hazitakuwa na mafanikio, hazitaweza kujiendesha zenyewe. Hela ya biashara utaitafuta huko kwingine na usoni utazuga una furaha lakini moyo wako unayiririka damu.
Nakusihi sana kijana, maisha magumu na ugumu wa maisha hauishi kwa kufanya ushoga. Fanya kazi halali, dunduliza, jibane nawe utafanikiwa
Scientists invented HIV/AIDS to eliminate homosexualsMashoga wapo tangu enzi na enzi. Hata mimi nakubali kuwa kuna binadamu wamezaliwa na hitilafu hivyo ushoga kwao ni kama only option. Kinachogomba na kukatisha tamaa ni kuona ushoga sasa hivi unapigiwa debe na kuhimiza watu wawe mashoga. Kwangu mimi ushoga ni ulemavu kama ulivyo ulimavu wowote. Wanasayansi walitakiwa kuwekeza nguvu kwenye kuona namna ya kutatua hili tatizo na siyo kuli-promote. Sisemi wauawe bali nasema tuwe active kwenye kutafuta tiba yake na siyo kama sasa hivi unakuta maandamano yakishirikisha mpaka watoto wadogo eti waukubali ushoga.