Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

Vijana na Wazee Arusha waahidi kura ya Ndiyo kwa Katiba Inayopendekezwa

hhahahaaa.. Subiri tamko la ijumaa ndo utajua. Ila najua hata wewe unapigatu hela zao, ila badae nikura ya hapana tu!.. Raha sana.

we jidanganye tuu na unafki wako, nkushangae wewe unaeipinga afu mwisho wa siku unapiga ndiyoooo na katiba hii inapita kwa ushindi wa tsunami!!
 
hayo ni mawazo yake tu kwani kakatazwa? Hata wewe unaweza ukalala ukaamka na kunadika kitu kama hiko na ukakipost na watu wakakichukua na kuwapa watu.

No, hiyo inaitwa COMMON SENSE ambayo ninyi mmeikataa kuitumia baada ya kulambishwa buku 7.
 
Shingapi kwa kila bandiko lako? ngoja nkuvute ili mzigo uongezekee.. tehteh.
 
Vijana wakiwemo na wazee wa Arusha wamevunja mzizi wa fitina kwa kuielewa katiba inayopendekezwa huku wengi wakisema kuwa hawaoni haja ya wao kuipinga na kuichukia katiba hiyo. Kutokana na kuikubali Katiba Inayopendekezwa wanawaomba vijana wenzao kote nchini kuipigia kura ya NDIYO. Huu ni ukweli usiopingika kuwa Katiba hii imejali makundi karibu yote. Nawapongeza wazee na vijana hao kwa hatua waloifikia na naamininTanzania nzima wataamka na kuwa mfano kama hawa. Safi sana.

Unauza tigo?
 
Mwambie alokuzaa hayo maneno na acha shobo ntakuoa.

Utaoaje wakati umeolewa, umekamatika hadi ufahamu, njaa imepanda kichwani na akili ikashuka tumboni. Wanasema changanya na zako lakini wewe zako huna, unapokea tu kila unachopewa.
 
Utaoaje wakati umeolewa, umekamatika hadi ufahamu, njaa imepanda kichwani na akili ikashuka tumboni. Wanasema changanya na zako lakini wewe zako huna, unapokea tu kila unachopewa.

Anapokea tu kama mboo yote inaingia
 
Utaoaje wakati umeolewa, umekamatika hadi ufahamu, njaa imepanda kichwani na akili ikashuka tumboni. Wanasema changanya na zako lakini wewe zako huna, unapokea tu kila unachopewa.

We ndo umeolewa na hao walokutuma useme hayo maneno, bado na mimi nkuoe uache shobo.
 
Back
Top Bottom