Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 289
- 416
Trump jana kamkaribisha Elon musk kuzungumza mbele ya waandishi wa habari. Elon musk kagusia kuhusu riba marekani wanayolipa kutokana na mikopo inaweka rehani mustakabali wa taifa.
Huku kwetu ni kuzunguka na kina mwijaku, dotto magari, Steve Nyerere na wengineo wa aina hiyo. Unabaki unajiuliza hawa wasanii mchango wao ni mkubwa ni kiasi gani wakati sensa ya 2022 inaonesha 43% ya nguvukazi ya taifa ipo kwenye kilimo na uvuvi!
Huku kwetu ni kuzunguka na kina mwijaku, dotto magari, Steve Nyerere na wengineo wa aina hiyo. Unabaki unajiuliza hawa wasanii mchango wao ni mkubwa ni kiasi gani wakati sensa ya 2022 inaonesha 43% ya nguvukazi ya taifa ipo kwenye kilimo na uvuvi!