Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

Acha uongo
 
Tupige forex
Kuna jamaa yangu kwa sasa hana maisha sababu ya forex..hadi familia imesambaratika. Alijifunza forex mda mrefu na akaijua, kazini walipomzingua akawapiga chini akalamba na nssf yake kwa kuhonga..akapeleka kwenye forex akapambana kama 3 years. Saizi ndio kaanza kurudi kawaida japo hana kitu anapiga mizinga tu..na baada ya jaribio la kutaka kujiua
 
Cheza kiwango ambacho unaweza kuhimili Kama ukipoteza. Hii ndio maana ya kucheza kistaarabu
 
...Kwa hiyo na Wewe Mkuu umebetia Milioni 5 Yako kwenye Mchepuko ? Mchepuko ambao Ukienda Home kulala na Mkeo na Mchepuko wako nao Unalalana Mchepuko wake ? Unalijua hili ??..
 
...Mkuu, Milioni 7 kununua Hata Kaboda boda ka kukuingizia japo Laki Moja Kila Wiki ?...
 
Wazee wa forex nao wanapigwaga sana.

Nadhani kwemye forex nayo tuanze kuiangalia kama ni kamari pia..
 
Na licence ya urubani hujapata 😂😂
 
Fanya mpango tuipate hii nakupa laki tano

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…