chariti
JF-Expert Member
- Aug 18, 2023
- 362
- 748
hao vijana wamelala kazini kama ambavyo manesi wanalala kazini kama ambayo polisi wanalala kazini nyani haoni kundule social media pia inalemaza akili, ukikutana na mfanya biashara atakwambia ajira inakudumaza uwezo wako wa kufikiri, utakutana na mwanamke ambae hafikirii maendeleo naye atakulemaza akili, utakutana na mtu anakwambia ukikaa kijijini akili italemaa, mwingine atakwambia kuangalia mpira kutakulemaza akili hutafikiria vitu vya muhimu, maisha buana popote pale utachanganyikiwa kama wewe ni wakuchanganyikiwa.