Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

hao vijana wamelala kazini kama ambavyo manesi wanalala kazini kama ambayo polisi wanalala kazini nyani haoni kundule social media pia inalemaza akili, ukikutana na mfanya biashara atakwambia ajira inakudumaza uwezo wako wa kufikiri, utakutana na mwanamke ambae hafikirii maendeleo naye atakulemaza akili, utakutana na mtu anakwambia ukikaa kijijini akili italemaa, mwingine atakwambia kuangalia mpira kutakulemaza akili hutafikiria vitu vya muhimu, maisha buana popote pale utachanganyikiwa kama wewe ni wakuchanganyikiwa.
 
Kuna makala hapa JF ya wacheza mpira maarufu huko Ulaya, waliolipwa mabilioni ya fedha, baada ya kustaafu wamefilisika kabisa, wamepanga hadi vyumba vya kuishi sababu ya kubet, endeleeni kusema Ni sayansi
 
Aviator wakat naijua niliambiwa na walionielekeza kuwa niweke pesa ndogo sana kujifunza, niliambiwa mia 2 lakin mimi nikaweka 1000 ndani ya dakika chache nikapiga 10000

Nikaona mbona mchezo ni rahis Sana, nikaamua kudeposit 60,000,
Kindege kilivyoona hyo hela kikapandisha mashetani, yaan sasa kikawa hakihesabu tena,kikiruka kidogo kinaanguka mpaka hela yote ikaisha
Hahahahah kindege kikapagawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
AVIATOR SIO BETTING MKUU, HIYO NI LUCKY DIP, KUBET NI KWENYE MICHEZO AMBAYO MATOKEO YAKE YAPO WAZI MWISHO WA MCHEZO NA HAYAPANGIKI KWA PROGRAM ZA KOMPUTA. ULICHOFANYA WEWE NI KAMA UMECHEZA BIKO AU TATU MZUKA AU HII MICHEZO YA REDIONI YA KUTUMA 1000 USUBIRI HELA. AVIATOR INAWEZA KUWA NA ALGORITHM INAYOANGALIA UMEWEKA KIASI GANI ILI IKIHESABU IISHIE WAPI IPAE. NDI MAANA UKIANZA UNAKULA UKIENDELA UNASHANGAA UNAPOTEZA ILA UKIACHA ROUND IPITE HUJAWEKA DAU UNAONA INAHESABU MPAKA 2000 HUKO, UKITIA MZIGO TU INAISHIA 1.87 INAPAA. OGOPA MICHEZO YENYE PROGRAM YA KOMPUTER, NI LAZIMA KUWE NA NAMNA YA KUCHEKI FAIDA KWANZA KABLA HAWAJARUHUSU MTU ALE PESA NYINGI.
 
Ungenitafuta mapema ningekupa mbinu kiongozi aviator usipojua ni rahis kupoteza pesa yako. DM me
 
Na mimi nilitaka kumwambia hvo hvo unaanzaje kucheza aviator!!! huo uthubutu wa kufanya hivyo ni zaidi ya kumtoa mtoto wako miezi 3 kafara

Huko kwenye virtual hakunaga kushinda zaidi ya kupozwa kidogo ili upigwe pakubwa zaidi

Bet real matches huko kuna ama zako ama zake ...unapasuliwa na wewe unampasua maisha yanaenda

Nakumbuka mhindi aliwahi kunipasua laki tano lkn nilikaa na kutuliza akili na kuwa na strategy ya muda mrefu namna ya kumbana pumbu huyo mjinga

Alilipa posa ya yote na faida ya zaidi ya mara 10 japo strategy ndefu sana

Nilishuka chini sana kwa mtaji wa buku tu nililipa nilichopoteza mpk leo tunaheshimiana pakubwa
Ulifanyaje mpwa 😀
 
Ndo maana ukaitwa zero brain sheikh

Mi majuzi niligombana na wife, nikachepuka kwa kitoto kina neema za allah kama zote, baada ya kuzoeana nikakapangia mahali ukiweka Kodi na vitu vyake vya ndani na ukijumlisha kaduka nilichomfungulia pale pale maana Kuna frame kwa nje haizidi 5M, yaani ni kama nimeoa mke wa pili kwa 5M na Kila siku napata Huduma ndo niende home.... Au naweza kuweka kambi hapo hata wiki kwa safari za kufata mizigo ya biashara za uongo


Nikiskia vijana mnapoteza 5M nahuzunika sana, kama unabeti beti hata buku tu aisee, m5 ukienda dar uswahilini huko unavuta wake watatu utakatikiwa mpaka ukimbie Jiji
Weka picha za hicho kitoto chenye neema za Allah kama zote, tuone kama 5M imeenda kihalali.
 
Ilikuaje? Mbona wewe ni mjanja
Kwenye utabiri, hakuna ujanja kwa kweli, ile michezo inachezwa na binadamu, una calculate unaona hapa kuna goli, hapo zinakuwa piga nikupige, imegonga post, kipa kadaka, mtu kabaki na goli kapata kifafa kaanguka.

Kuhusu ujanja why nibet kiasi hicho na niliwe, addiction mchezo ule una addiction ya kifala sana, nilivyoanza na kufikia huku hayaelezeki ni kama utani tu, kisha inakuchota, ila niliacha baada ya kujifanyia tafakuri vizuri.
 
Kwenye utabiri, hakuna ujanja kwa kweli, ile michezo inachezwa na binadamu, una calculate unaona hapa kuna goli, hapo zinakuwa piga nikupige, imegonga post, kipa kadaka, mtu kabaki na goli kapata kifafa kaanguka.

Kuhusu ujanja why nibet kiasi hicho na niliwe, addiction mchezo ule una addiction ya kifala sana, nilivyoanza na kufikia huku hayaelezeki ni kama utani tu, kisha inakuchota, ila niliacha baada ya kujifanyia tafakuri vizuri.
Yeah inawezekana kabisa kuacha kubeti ikiwa utaamua kutoka moyoni
 
Back
Top Bottom