eleza kidogoNakuelewa sana mkuu, just know hauko peke ako maana mi naona nikianza kuelezea ntakesha ila mkuu kama itakupendeza eb tufanye namna watu wenye uraibu na hii kitu tuweze kujitoa huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eleza kidogoNakuelewa sana mkuu, just know hauko peke ako maana mi naona nikianza kuelezea ntakesha ila mkuu kama itakupendeza eb tufanye namna watu wenye uraibu na hii kitu tuweze kujitoa huku
Tangu nijue uhuni unaoendelea virtual betting, Huwezi nishawishi kutia stake ukoHatuachi kubeti Jana nimeanza na 30,000 tu kubeti kwenye soka Sasa hivi usiku huu Nina 200k ,unaniambiaje nibeti we utakuwa junior kwenye kubeti pia hauwezi zuia hisia na haujui betting inaendaje,na unaendaje kushindana na computer,betting zote izo aviator na virtual games ni computer ata siku Moja hauwezi shindana nazo
Hatari mkuu maumivu ya kuhonga na kutoswa ni zaidi ya mbuzi kuchunwa ngozi akiwa hai😂🤣🤣 Mara 100, nimepoteza kwenye utafutaji. 😂
Safi kurudusha hii avatar tuliyoizoea kuliko ile ya Craig David.Umebet hela yote imeisha sahivi unataka kubet uhai
Nilikua kwenye mchakato wa kuitafuta baada ya kuiremove bahati mbayaSafi kurudusha hii avatar tuliyoizoea kuliko ile ya Craig David.
Haha Haha.Jipige kifuani mara3 kisha utamke maneno aya
->Mimi ni mjinga sana
->Mimi ni mpuuzi na kilaza kiwango cha Sgr
->Mimi ni Zumbukoko nimepeleka mafao yangu kwenye kamari
->Mimi nina nyota ya umaskini
ukisha maliza kutamka ayo njoo nikupe odds 5 za uhakika ufute huo ujinga ulio jaa akilini mwako
Duuh...brother unanielewa sana.Achana na mawazo ya kujiua sio solution ya matatizo yako, ukipitia changamoto yeyote acha kabisa kuwaza kifo kama suluhu, huo ni udhaifu uliotukuka.
Kama mimi nilipitia hayo na nikavuka licha ya maumivu makali kwanini wewe ushindwe?
Uza simu anza upya tafuta cha kufanya kadri muda unavyoenda mambo yatakuwa sawa.
Epuka kuazima hela kwa watu na kuahidi kurejesha ukiwa na hiyo simu yenye uwezo wa kukufanya ucheze aviator, kwa sasa hata ukipewa hela utakimbilia kucheza tena(najua hili wengi watakataa/utakataa) ila nimepitia na ninajua kwa kuyaona kwa wengi. Jijenge mwenyewe taratibu taratibu na usifosi uazime hela usiomudu kurudisha, utajivunjia uaminifu na upo kwenye kipindi kigumu cha kusimama upya kuna muda utahitaji msaada na wakukusaidia ndio hao wanaokuamini, usiwapoteze.
Nakuandikia magazeti kwa sababu nimeyapitia haya na sipendi kuona mtu anayapitia naelewa maumivu yake.
Kwa mtazamo wako huenda ukawa sahihi.Najua nakosea Ila ndivyo ninavyo waona watu wanao beti
Huwa nawaona Kama hawako timamu na wavivu
naelewa bado una msoto ni vyema ukalielewa hilo, kuacha addiction sio jambo jepesi linahtaji ujipe muda.Duuh...brother unanielewa sana.
Hii simu kweli kuendelea kuwa nayo nikipata pesa nitacheza tu, bora nisiwe nayo kwa sasa.
[emoji3][emoji3]Ninachoshukuru sijui kuendesha kindege, sijui kuzungusha lile tairi na wala sijui kucheza dubwi la mchina.
Ila kuna siku nimewahi kupoteza laki 2 kizembe sana ilikuwa 2020 kama sikosei.
Ni kupitia 1xbet nilikuwa nimebet football nikala.
Sasa ukatokea ujumbe kuwa naweza kudouble my winning, nikakubali.
Ukaja mchezo wa kupiga penalt halafu kuna goalkeeper anadaka.
Ninachokumbuka nilikula kama mara 2 tu, nyingine goalkeeper alikuwa anadaka na kutema hadi nikakauka kau.
Ninachoshukuru sijui kuendesha kindege, sijui kuzungusha lile tairi na wala sijui kucheza dubwi la mchina.
Ila kuna siku nimewahi kupoteza laki 2 kizembe sana ilikuwa 2020 kama sikosei.
Ni kupitia 1xbet nilikuwa nimebet football nikala.
Sasa ukatokea ujumbe kuwa naweza kudouble my winning, nikakubali.
Ukaja mchezo wa kupiga penalt halafu kuna goalkeeper anadaka.
Ninachokumbuka nilikula kama mara 2 tu, nyingine goalkeeper alikuwa anadaka na kutema hadi nikakauka kau.
dah! Hatari sana. Ila mimi football siachi kubeti.