Zero brainer
Member
- Feb 24, 2024
- 38
- 104
- Thread starter
- #121
Unajua kuna makosa ya kibinadamu kiasi kwamba hata ukikosea unaweza usijutie sana.Miaka 20 iliyopita nikiwa na umri wako huo nilipata janga kubwa sana nikaona dunia si yangu tena. Nilifanya upambavu mkubwa sana na nikapoteza kazi nzuri huku jela ikinisubiri. Hapo nina familia na wananitegemea mimi, nilichukua uamuzi wa kujitoa roho, nikanunua frajili 20, nikachukua bia (Tusker) moja nikachanganya na Konyagi nikabugia yote. Nilikwenda kuponea hospitali kwa msaada mkubwa wa wife. Leo maisha yanaendelea na yote yaliyopita yalishapita. Tulia jipange upya, maisha ni zawadi muhimu sana na thamani yake haipimiki, tunapaswa kuyakumbatia kwa nguvu zetu zote hadi pale yatakapoondolewa kwetu.
Ila broo kwenye kubeti siyo kosa la kibinadamu ni tamaa na kujiendekeza tu.
Inaniuma sana kupoteza pesa kwenye kubeti.
Ni bora hata ningekamatwa huko na dawa za kulevya nikafungwa nisingeumia sana maana nilikuwa natafta utajiri japo kwa njia haramu.
Ila kubeti milion 7.5 kwa siku 5, kuna najidharau sana natamani hata nijichome visu vingi tumboni maana najiona sina akili hata ile moja