Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huyu tayari kipa katoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We itakua ni muumini wa yule dada mwenye sauti ya simba jike sio bure.Eeeh,,aya wadada chini ya 30 yrs handsome uyu apa mjishindie
Mkuu una umri gani so far?Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Umeanza kuvaa wigi?Haya ni mambo ya kitoto
We found him 😀😀😀Nyie mashoga mnaanzia mbali sana. Huwezi kuta mwanaume Rijali anazungumza maneno haya. Hata siku moja. Ni ninyi tu machoko.
Umewaona enhee 😀😀😀Sura pasono full kutema mapovu hawataki kuambiwa ukweli
Hata sisi wenye pesa tunapata favor na kushobokewa pia ni ngumu kudhaniwa wezi kuliko nyie wenye sura nzuriYani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Yaa ili waluku More beauty
Kwani terminology handsome inatumika kwa mtu wa jinsia gani?Anaposema "favor" anamanisha wanaliwa tgo... Biashara ya ushoga ina terminology nyingi.. mwanaume rijali hawez kujiita handsome, anyways uza tu tgo ni yako
Inatumika kumuelezea mwanamme ambaye ni ShogaKwani terminology handsome inatumika kwa mtu wa jinsia gani?
Hapana huo ni mtazamo wa ugly man tu Hata mashoga wenye sura mbaya wapoInatumika kumuelezea mwanamme ambaye ni Shoga
Kasema wanapata favoursWengi wenu sio riziki, mwanaume uwe soft kama mwanamke unategemea nini?