Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.

Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.

Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.

Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Mkuu una umri gani so far?

Nilivyokua mdogo walikua wanatuita enchamu...
Ila kadri umri unaenda na maisha kupigika hayo mambo unasahau kabsa na sura inakua serious na kutake uhalisia wa mwanaume.

Sasa kama una majukumu halafu bado unawaza sura, yani ndio inakupa kula either ni MARIOOO au NCHICHA MWIBA hauchomi wala hauumi wenyewe ni mboga tamu inaongeza damu...
 
Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.

Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.

Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.

Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Hata sisi wenye pesa tunapata favor na kushobokewa pia ni ngumu kudhaniwa wezi kuliko nyie wenye sura nzuri
 
Anaposema "favor" anamanisha wanaliwa tgo... Biashara ya ushoga ina terminology nyingi.. mwanaume rijali hawez kujiita handsome, anyways uza tu tgo ni yako
Kwani terminology handsome inatumika kwa mtu wa jinsia gani?
 
Back
Top Bottom