Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hao wadada watawafuja tu....Eeeh,,aya wadada chini ya 30 yrs handsome uyu apa mjishindie
Waacheni mahendisamu waje kwetu mishangazi tuwalee, tuwape magari yetu watesee mujini 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wadada watawafuja tu....Eeeh,,aya wadada chini ya 30 yrs handsome uyu apa mjishindie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumaanisha nn kwamba diara katoka gorin kibu anajipimia tuHuyu tayari kipa katoka
mashangazi wa saivi magonjwa kibao mnakufa mapema,,mnaacha wagane bado wadogo sana.Hao wadada watawafuja tu....
Waacheni mahendisamu waje kwetu mishangazi tuwalee, tuwape magari yetu watesee mujini 😎
Ila kwenye upinde, ndo shida ilipo, wagumu hawawezi kuhisiwaYani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Hao ni mashangazi wenye njaa, sio sisi, sio sisi yani...😎mashangazi wa saivi magonjwa kibao mnakufa mapema,,mnaacha wagane bado wadogo sana.
Huwa ana kawaida ya kujitazama kwenye vioo, sight mirrors, aluminium windows na vioo vya dressing SaloonsUnajuaje kuwa wewe ni handsome?
😂😂Hakika hautouona ufalme wa mbinguSoon utajisifia una tako laini.
Tuseme Astaghafilullah × 1000.Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Siku hizi mnawatumia vibaya kama yule shishi anawatumia halafu anawatupa anadaka mwingine.Hao wadada watawafuja tu....
Waacheni mahendisamu waje kwetu mishangazi tuwalee, tuwape magari yetu watesee mujini 😎
Kwani hilo jini komwe siyo demu?Humu kuna majini mkuu yanabadilika jinsia kila baada ya lisaa kama hilo jini komwe
Hawapati hata kiinua mgongo chao 🤣🤣🤣Siku hizi mnawatumia vibaya kama yule shishi anawatumia halafu anawatupa anadaka mwingine.
Dah! Ndugu yangu acha hiyo tabia itakupeleka pabaya!Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi.
Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini unakubalika sana, kuna wadada hadi wanakwambia uwape mbegu.
Nashauri vijana kuzingatia mama au baba atatoa mtoto wa aina gani, beauty and handsomeness matter a lot.
Watakao pinga ni wale wenye sura personal
Yaani!Hawapati hata kiinua mgongo chao 🤣🤣🤣
nyie wenye hela naskia mna magonjwa yenu ya kitajiri😌,,kansa, pressure, kisukari.......Hao ni mashangazi wenye njaa, sio sisi, sio sisi yani...😎
😅😅😂Kwamba taa mpaka amuite fundi umeme, kuweka luku ananunua ngaziMwanaume unajisifia ujinga, ndio shida ya vitoto vilaiini hata kazi havihimili.
Hakuna mwanamke anayependa mwanaume laini hata screw hawezi kufunga!! shame upon you.
Poor Brain dronedrake msaidieni huyu transgender
😂😂AiseeHawapati hata kiinua mgongo chao 🤣🤣🤣
Unaniigizia siombona ata simfaham jamaniiiii
Mkuu unaendeleaje na afya Yako?Siku hizi mnawatumia vibaya kama yule shishi anawatumia halafu anawatupa anadaka mwingine.