Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
nilipishana na katoto ka miaka kama mi 5 hivi kule Mapambazuko et kakanambia Zasahizi Aseee nili mind kimy kimy yan ni mtoto wang wa pili kabsa et Zasahizi
Ingekua n kule kijijin kwet moshi nilishakapiga bakora zakutosha
Wanaohitaji counseling Ila ndio hivyo wengine kuwarudisha kwenye mstari mtiti utachezea betoUkiwa ndani ya "zone za kihuni" kamwe huwezi kufikiria kuwa USTAARABU ndio nguzo ya maisha ya duniani....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dawa sio kwamba nachoma nalipua kama mizinga ya Gongo la mboto na bado wapo hivyo aisee.Hamna Ila sasa una mazoea nao mpaka wakusalimie yaweza ikawa wanakuona km mchawi wewe huchomi dawa upo upo tu hawakuelewi haupo kwenye system zao
Daaah.....Aisee, mi nipo kwenye compound ya watu watatu kila mtu kivyake ila unaweza kukuta dirisha nimeacha wazi kabisa, mlango nimeufungua na mtu anaingia kwake anawaangalia hata kusalimia hasalimii aisee. Acha kabisa...!
[emoji1787][emoji1787]Sijakataa man ndio maana silalamikagi kuhusu mambo za bandari na muungano
Unasaga gombaDawa sio kwamba nachoma nalipua kama mizinga ya Gongo la mboto na bado wapo hivyo aisee.
Ujanja wa kishaaaaaambaKuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Anawaona watu wa ajabu ajabu πππHata hao wachuga wakija huko kweni sijui bukoba,mwanza, dar...wataona mnawarushia tu!
Eti uchukue mmeru wa tengeru umpeleke nanjilinji huko ataona kakutanishwa na wehu
[emoji1787][emoji1787]Wewe usalimiwe ukiwa km nani?
Daaah.....
Hatari mkuu wangu....
"Humility , humbleness ,down to earth" HULIPA zaidi ya UMBUBU.....
Umbubu sio kabisa mzee...umbubu ni KIBURI...na kiburi cha mtu hakimuathiri mwengine bali huathiri MOYO wa mfanya kiburi....it takes years to see the results.....[emoji1787][emoji1787]
NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
πππWarusha nafikiri ndio mji una ushamba mwingi!? Yani ukiwa msela mavi ndio ujanja!!
Gomba sisagi...!Unasaga gomba
[emoji1787][emoji1787]Nakubali Mkuu c unajua tunakula madude Makali so lazima tuzingatie misosi
Hilo swali ukiwauliza vizuri watakujibu[emoji1787][emoji1787]
Mzee baba kwani kusalimiana ni "utumwa" ?!!!
Hivi humbleness ina hasara ?!!
Hivi cruelty ina faida kwa jamii ?!!
Hivi wazee wa DIPLOMASIA ambao wanawaingizia fedha za kigeni hapo chugga huwa wanafanya kazi zao za kimataifa kwa UMBUBU huo usemao ?!! [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Kwani wanaosalimiwa ni manyani mkuu...?
Mapema sanaaaaa[emoji106]Tunapaswa kuchukua hatua mapema, mvua huanza na mawingu
Wanashindwa kupanua tu bongo zao....Hamna Ila sasa una mazoea nao mpaka wakusalimie yaweza ikawa wanakuona km mchawi wewe huchomi dawa upo upo tu hawakuelewi haupo kwenye system zao