Vijana wa Kitanzania watauana sana kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa kama fasheni. Ndoa ni mkataba mzito sio wa kuvamia hovyo

Vijana wa Kitanzania watauana sana kwa sababu ya kuingia kwenye ndoa kama fasheni. Ndoa ni mkataba mzito sio wa kuvamia hovyo

Muishi kwa shida na raha
Hii kauli iondolewe sahvi

Ova
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Hakuna Mwanamke yuko tayari kuamuliwa maisha na mwanaume..

Ndio maana hata SSH anawaprove wrong mliominishwa kwamba shujaa wa Africa is exceptional na hakuna wa kumfikia 🏃🏃
 
Ni ngumu sana kwa karne hii iliyojaa kizazi cha nyoka kupaka mwanamke ambae ana utayari wa kukaa kwenye ndoa.

Hii ina maana kuwa anakuwa tayari kuvuliwa chupi, kufanya usafi, kusaidia ndugu na jamaa za mume na kutii maagizo ya mume.

Siku hizi wanawake wengi wanatafuta mahala pa kujificha na kutuliza shida zao. Na ndio maana ndoa ni kama fasheni huku hawaishi maisha ya ndoa. Wanachepuka na kupigwa kama mbuzi.

Mwanamke aliyetayari kukaa ndani ya ndoa huwa mtiifu na atailinda ndoa yake kwa kila namna.

Ila hawa vinuka mkojo wa leo ndio wanasababisha mauaji kila siku.
Nahisi YESU [ISSA-BIN-MARIAM].....yupo gym,anapsha ili kuja kuhukukumu ulimwengu aithee!!!!,ni ngumu kumtawala mwanamke anayependa vi2 bandia kama kucha,nywele,kpe,makalio bandia nakadhalika,sasa kama m2 anakumbatia vi2 bandia,atapendaje ndoa original!!!!!
 
Back
Top Bottom