Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mtu anawanasihi watu na kuwaambia watajimaliza.
Anajuaje hawataki kujimaliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anawanasihi watu na kuwaambia watajimaliza.
Logical non sequitur fallacy.Acha kubeti, energy drinks, pombe zilizozidi na uwolowolo itakusaidia. Kuna nini unafikiri sielewi Mr. Kiranga.
Mbona inaonekana wewe ni mlevi sana?Logical non sequitur fallacy.
Mimi sibeti ingawa nina accwss ya glibal markets.
Unaijua Dow Jones Industrial Average wewe? Unajua future trading wewe?
Energy drinks na pombe sigusi. Uwolowolo unaujua weee.
Unarudia tabia yako ya kutoa ushauri ambao hujaombwa, kwa watu usiowajua kuhusu mambo usiyoyafahamu.
Hapana.Mbona inaonekana wewe ni mlevi sana?
Basi wewe ni mwongo na mgomvi sana. Ni wapi mimi nimeonesha kuwajua watu nisiowajua?Hapana.
Ni wewe unapenda kuwa kimbelembele sana kujifanya unawajua watu usiowajua.
Mara ya mwisho kunywa kinywaji chenye alcohol nilikunywa Champagne tarehe 1 January 2024 wakati wa kusheherekea mwaka mpya. Tarehe 1 January 2025 nafikisha mwaka mzima sijakunywa pombe ya aina yoyote.
Ni wewe tu unapenda kimbelembele kujifanya unawajua watu usiowajua.
Wewe hujielewi.Basi wewe ni mwongo na mgomvi sana. Ni wapi mimi nimeonesha kuwajua watu nisiowajua?
Ngoja nikuache uenda najadiliana na mwanangu wa kumzaa.Unaongea kamasi tupu za kichwani unaona umetoa point
Karudie kusoma upupu ulioandakia kenge wewe.
Kafe mbele huko kilaza....Ngoja nikuache uenda najadiliana na mwanangu wa kumzaa.
Sawa MAMA.Kafe mbele huko kilaza....
Maisha yenyewe mafupi waache watu wafanye wayapendayo. kila mtu abaki ma dhambi zakeVijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!