- Thread starter
- #81
Usiogope uzee, kwani uzee unaanzia 75 kwa hivyo bado una muda mrefu sana wa kuishi vizuri.Uko 67-80yrs n kutesa wajukuu coz magonjwa ya uzeen itawasumbua mara umwe ksukar pressure, tez dume sonona ww n wakutembezwa kweny gar kutwa kupimwa kwa doctor Mwamed mara uwanikwe juani, unamwita mjukuu kumbe kavurungwa na maisha utasikia ili lizee slife linasumbua sana kila saa linaita ita weee staki kuwa kero kwa wengne