MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Pombe na Club Life siwezi acha hivi karibuni (ongezea na Ganja)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo kwakuwa yeye yupo fiti mpaka leo kwa macho unamuona mzimaNikiwa nasoma "Vidudu" miaka ya mwanzoni na 1980 Jaji Mzee Warioba alikuwa anakunywa pombe kali (sitaki kusema gongo) pale SISIMKO BAR Kijitonyama. Nakumbuka hadi siku moja aliwahi kupoteza saa yake ya mkononi hapo! Ahahahahaha !!
Hadi leo Mzee wangu huyu anakunywa! Na kwenye kinywaji ni Role Model wangu na naamini nitaishi miaka mingi kama yeye nikinywa Konyagi ingawa sigara sivuti kama yeye! Ahahahahaha!!!
Mzee Warioba ana miaka karibu 90. Unataka uzima gani?Kwahiyo kwakuwa yeye yupo fiti mpaka leo kwa macho unamuona mzima
Mkuu kwanza mimi binafsi sibeti kwa mazoea ila ckuizi vijana wengi wameigeuza kama ajira huwa nahuzunika sana nchi yangu nguvu ya vijana inazidi kupotea.Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Hapana hii ni ya mbulula kama ulivyoielewa..Mada hii ijadiliwe na wenye Akili Tu.
Kwa ujumbe huo inaonyesha kwamba wewe na mtoa ujumbe hamna mlijualo mmebaki kujifariji kama mko msibani hiyo mipango ingeonekana kuanzia kwenye familia yenu ,mipango ingeonekana kwenye mtaa munaoishi na mwisho kabisa kwenye Nchi masikini kama yenu mungeungana kuitoa hapa ilipo haya bwana mipango tuambie umepanga nini hadi sasa kwenye hizo sehemu tatu au nyie ndo mnapanga maandamano?Hapana hii ni ya mbulula kama ulivyoielewa..
Wenye akili wanajadili vitu kama huu ujumbe wa leo.....
View attachment 3179177
Haya ona sasa yaleyale....Kwa ujumbe huo inaonyesha kwamba wewe na mtoa ujumbe hamna mlijualo mmebaki kujifariji kama mko msibani hiyo mipango ingeonekana kuanzia kwenye familia yenu ,mipango ingeonekana kwenye mtaa munaoishi na mwisho kabisa kwenye Nchi masikini kama yenu mungeungana kuitoa hapa ilipo haya bwana mipango tuambie umepanga nini hadi sasa kwenye hizo sehemu tatu au nyie ndo mnapanga maandamano?
Vijana wa Dar kwa kweli wanasikitisha mno, juzi tu nilikuwa ndani ya dala dala eti mtu ananiomba nimfungulie paketi ya biskuti yeye kachoka.Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Mpaka JF wamekutunuku cheo cha expert member nawe hapo namba 5 ni wa kushinda mitandaoni. Jitafakari sana komredi.Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Labda ukiwaambia ww watakuelewaVijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Uwolowolo ni nini?Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Uwolo wolo ndo nini????Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Mimi nina miezi 6 sijanywa na nilikuwaga napiga hatari. Nikipokea mshahara nilikuwa natenga kabisa bajeti ya pombe kwa mwezi mzima tena naongezea na pesa ya dharura kwenye mazingira hayo hayo ya pombe.Safi asomae afahamu mambo haya uanawatesa sana vijana kweli kweli mimi hilo no.3 tuu ndo napambana nalo ila halinisumbui sana ninaenda nalo kistaarabu mengine sippo nayo kabisa
Endelea kupulizwa tu maana uliyataka mwenyewe!Namba nane inanitesa sana sijui nifanyeje
Umetia chumvi kidondani, inauma ila wataponaVijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1. Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Hii ni mada ni ya watu wenye akili na wanao angalia mustakbali wa vijana na taifa kwa ujumla,Hata wewe umenipa ushauri ambao sijakuomba.
Unathibitisha maneno yangu.
Watanzania wengi wanapenda kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kwenye mambo wasiyoyaelewa.
Nilianza JF miaka ya 1990sMpaka JF wamekutunuku cheo cha expert member nawe hapo namba 5 ni wa kushinda mitandaoni. Jitafakari sana komredi.