muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mchicha mwiba.Uwolowolo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchicha mwiba.Uwolowolo ni nini?
Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Mada hii ijadiliwe na wenye Akili Tu.Watanzania wengi ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu vitu wasivyovielewa.
Energy sio shida kwa mtu anaefanya kazi za nguvu acha kukariri, pia pombe ikikutawala ndio shida ilankama mtu anakunywa kiasi inashida gani? Sema kila mitu kiwe kwa kiasi kisizidiVijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Sharifu uache kubeti sasa8. Pokea Upako.
Namba nane inanitesa sana sijui nifanyejeme sina hata chembe ya list tajwa hapo juu , ajabu nimemalizwa
#8.ongeza ushoga
#9.fake lifestyle
#10.usagaji
Serikali izifute kampuni za betting aisee zinawafanya watu wapoteza afya 🤣🤣🤣Sharifu uache kubeti sasa
We ni shoga?Namba nane inanitesa sana sijui nifanyeje
Mwili usipoushughulisha lazima itakuramba sukari na pressure na hata figo hata kama haunywi energy na pombe. Ukiona ww ni mtu ambae kazi zako sio za kutoa jasho baada ya kutumia nguvu nyingi basi energy na pombe viepuke kabisa.Juzi nimeingia mgahawani nimemkuta mwamba anakunywa supu na energy drink dah nikajisemea kwahiyo hapa mwamba ndo anajiweka fiti nini
Wataalamu wanasema energy drink kama utakunywa kwa siku basi moja tu na uwe unatembea tembea,sasa ebu jiulize kwanini uwe unatembeatembea,ila kuna watu kwa siku wanakunywa mpaka tatu au nne,je kwanini figo zisifeli
Pombe kitaalamu unywe mbili kwa siku na unywe moja kwa wastani wa lisaa limoja,je ni wangapi wanafanya hivyo
Halafu kwa kuitetea pombe wanasema unywaji wingi wa pombe huatarisha afya yako,yani ukinywa nyingi je ngapi?
Umeongea hayo lakini hujawakataza kuzini na uzinzi. Je, hayo ni afadhali kuliko kunywa energy drinks? Ahahahahaha!!!Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Mbona umeruks simba na yanga?Vijana wa siku hizi acheni mambo mengi ya kijinga ambayo ni pamoja na:
1.Kubeti
2. Energy drinks
3. Pombe
4. Club life
5. Too much time on social media
6. Ushabiki wa mpira wa miguu uliopitiliza na
7. Uwolowolo
Mmekuwa rojorojo kama mkate kwenye chai. Watu wanapata shida kutambua kijana wa kike ni yupi na wa kiume ni yupi siku hizi!
Mnafikiri siasa za nchi hii ni za Mbowe na familia yake tu.
Mnasubiri muajiriwe? Na nani!
Kodi sheikh! Serikali inapata sana pesa kwenye kampuni za kubeti kuliko mapato inayokusanya kutoka sokoni kwenu hapa 'mahakama ya ndizi'Serikali izifute kampuni za betting aisee zinawafanya watu wapoteza afya 🤣🤣🤣
Nikiwa nasoma "Vidudu" miaka ya mwanzoni na 1980 Jaji Mzee Warioba alikuwa anakunywa pombe kali (sitaki kusema gongo) pale SISIMKO BAR Kijitonyama. Nakumbuka hadi siku moja aliwahi kupoteza saa yake ya mkononi hapo! Ahahahahaha !!Juzi nimeingia mgahawani nimemkuta mwamba anakunywa supu na energy drink dah nikajisemea kwahiyo hapa mwamba ndo anajiweka fiti nini
Wataalamu wanasema energy drink kama utakunywa kwa siku basi moja tu na uwe unatembea tembea,sasa ebu jiulize kwanini uwe unatembeatembea,ila kuna watu kwa siku wanakunywa mpaka tatu au nne,je kwanini figo zisifeli
Pombe kitaalamu unywe mbili kwa siku na unywe moja kwa wastani wa lisaa limoja,je ni wangapi wanafanya hivyo
Halafu kwa kuitetea pombe wanasema unywaji wingi wa pombe huatarisha afya yako,yani ukinywa nyingi je ngapi?