si ndo anaenda kutengeneza mimba baade anazalisha mtoto? au?Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
[emoji2][emoji2]Daaah !
Very interest.
Ila binafsi hamna kitu kinanipa wakati mgumu kama kununua kondomu!
Hii sasa ndio unaitwa umbea.Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa niaba ya mtoa mada namuombea msamaha, mumsamehe mashushu yametosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mtoa mada hili nalo ukalitizame
[emoji23][emoji23][emoji23]Bro pole ninakazi za kuchomelea ndio nikaona Usiku nisilale kwa sababu ya mgao Wa umeme sasa asubuhi ndio naenda kulala.
VP kwani unaumia sisi vijana tuwe Wa ajabu ninyi miaka 60 yote hamna Maji wala umeme hatujasema mizee ya ajabu tunawavumilia tu hivyo hivyo .tuheshimiane mzee
Umesema zamani kila mtu hakua na uwezo wa kumiliki tv tofauti na sikuhizi maana yake unamainisha sikuhizi kila mtu anauwezo wa kumiliki tv et?Sasahivi umeruhusiwa kumiliki tv ndo ununue kondom saa 12 asubuhi!!!??? Enzi hizo tv haikuwa chombo cha kawaida kama hivi sasa, ilikuwa kitu cha amasa na gharama mno na kwa kipato cha mtu mmoja mmoja enzi hizo ungenunua tv lazima uhojiwe umepata wapi pesa mdefu kiasi cha kununua hiyo kitu. Hata huko xilipokuwa zinatoka walikuwa wanamiliki watu wenye uwezo na si kila mtu.
Wewe kijana wa zamani yaweza kua ni mwana ccm na mimi nakwambia hivi matatizo ni yale yale toka enzi za mwalimu mpaka leo maana yake ccm imeshindwa,Vijana wa juzi mkishavuta bangi zenu mnaandika chochote!
Hajawahi kupatikana kiongozi sampuli ya Nyerere hapa nchini. Kila chema unachokiona leo ni matunda yake kuanzia Umoja tulionao kama nchi, Miundombinu mingi tu kama viwanja vya ndege, vya mpira, Viwanda, Majengo ya serikali, mifumo ya uongozi wa nchi, jeshi letu, lugha moja kwa wote n.k n.k n.k na wakati huo ujue kipindi hicho kila aliyefanikiwa kwenda shule aligharamiwa na serikali kila kitu (haukuwa mkopo) na matunda yake ndo hawa viongozi unaowaona leo. Kumbuka wakati huo uchumi wa nchi ulikuwa chini sana lakini mwalim alimudu kufanya yote hayo kwa mapenzi mema aliyokuwa nayo kwa nchi hii.
Yes, siku hizi ni uzembe wako tu kutomiliki tv maana tv za chogo zinauzwa hadi tsh.25,000 mtaani.Umesema zamani kila mtu hakua na uwezo wa kumiliki tv tofauti na sikuhizi maana yake unamainisha sikuhizi kila mtu anauwezo wa kumiliki tv et?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe ndo mjinga, unadhani usiku watu wote wako kama wewe wanalala tuu.Leo sikuwa na bakora nishamtandika enzi za mwalim uwezi kukuta vijana ovyo kama hivi
Kitaalamu watu wanaopenda kufuatilia mambo ya watu wengine bila sababu za msingi za kufanya hivyo wana matatizo ya kisaikolojia. unakoelekea utaanza mchezo wa kuchungulia watu madirishani.Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!
Kwani alikiambia anaenda kuitumia muda huo,vipi kama alianza kufanya maandalizi kwa ajili ya siku ile?Leo nimekutana na tukio limenisikitisha sana nimeenda duka la dawa kununua dawa zangu za presha nakutana na kijana na yeye anapata huduma, yeye kafuata kondomu anasema anaenda kazini.
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana yaaani j3 asubuhi yote hii saa 12 mtu baada kwenda kwenye uzalishaji anahangaika na kondomu
Kweli hii nchi kazi ipo daaah!