Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Mtanzania2020

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2020
Posts
817
Reaction score
1,752
Mkurugenzi wa Al-Hikma Foundation, Sheikh Nurdin Kishki amesema kati ya mabwana harusi 70 wanaofungishwa ndoa nusu yao wametoka Mkoa wa Dar es Salaam.

Hayo yamebainika wakati mkurugenzi huyo akitaja maeneo watakayopeleka mahari ikiwamo Dodoma, Lindi, Mtwara, Pwani, Mwanza, Morogoro, Manyara, Unguja, Mara, Singida, Kigoma na Kagera.

Amesema wakati wanatangaza vijana waliojitokeza kutuma ujumbe kwa mfumo wa harafa kusaidiwa walikuwa vijana 1000 na walipofikia hatua ya kutoa fomu waliweka vigezo na masharti.

FB_IMG_1691323859226.jpg
 
Sasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Tatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
 
Mkurugenzi wa Al-Hikma Foundation, Sheikh Nurdin Kishki amesema kati ya mabwana harusi 70 wanaofungishwa ndoa nusu yao wametoka Mkoa wa Dar es Salaam.

Hayo yamebainika wakati mkurugenzi huyo akitaja maeneo watakayopeleka mahari ikiwamo Dodoma, Lindi, Mtwara, Pwani, Mwanza, Morogoro, Manyara, Unguja, Mara, Singida, Kigoma na Kagera.

Amesema wakati wanatangaza vijana waliojitokeza kutuma ujumbe kwa mfumo wa harafa kusaidiwa walikuwa vijana 1000 na walipofikia hatua ya kutoa fomu waliweka vigezo na masharti.

View attachment 2710015
Njia moja wapo ya kupiga vita zinaa ni kila mtu kuwa na mke mume pesa ya kula sio kazi kuipata kazi ni kupata kwa pamoja 500,000,za mahari
 
Kwani mahari sh ngapi jamani
Moshi milioni 5 halafu hawajui kupika. Tanga elfu 80 halafu wanakupikia msosi super. Moshi hawajui kupika ila utakuwa tajiri. Tanga wanajua kupika ila utakuwa masikini. Moshi utakuwa tajiri ila utawahi kufa. Tanga utakuwa masikini ila utaishi miaka mingi. Kupanga ni kuchagua 🤣🤣🤣
 
Tatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
Kwa mm hp nimekuelewa
 
Moshi milioni 5 halafu hawajui kupika. Tanga elfu 80 halafu wanakupikia msosi super. Moshi hawajui kupika ila utakuwa tajiri. Tanga wanajua kupika ila utakuwa masikini. Moshi utakuwa tajiri ila utawahi kufa. Tanga utakuwa masikini ila utaishi miaka mingi. Kupanga ni kuchagua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mh Bora Tanga mkuu
 
Kwani mahari sh ngapi jamani
Mahari kwa mujibu wa mafundisho ya dini yetu uisilamu ni chochote kitu atakacho kiitaji muolewaji kutoka kwa mtarajiwa wake hiwe pesa dhahabu nyumba gali mkeka viatu pete kwa ujumla mahari haina kiwango
 
Mh Bora Tanga mkuu
Sehemu gani tanga wanako ozesha kwa sh 80 na wapi moshi sehemu gani wanakoa kwa m5 wachanga tunao hapa wameoa kwa 500,000, 300,000,unamdangaya nini wewe
 
Moshi milioni 5 halafu hawajui kupika. Tanga elfu 80 halafu wanakupikia msosi super. Moshi hawajui kupika ila utakuwa tajiri. Tanga wanajua kupika ila utakuwa masikini. Moshi utakuwa tajiri ila utawahi kufa. Tanga utakuwa masikini ila utaishi miaka mingi. Kupanga ni kuchagua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Message from a very experienced person[emoji1787]

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Pagumu ni pale kuhakikisha binti wa watu anapata milo mitatu kwa wakati, bado mavazi n.k, kama ameshindwa kulipa mahari si dhani kama ataweza kuhakikisha kiumbe kinachopumua kinapata mlo sahihi kwa wakati.
au wanadhani mke ni fenicha kama meza hahaaa
 
Back
Top Bottom