morees
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 288
- 619
Wanatumia mbinu za kiwaki sana kupumbaza vijana na ujinga wa vijana wanaona kweli wamesaidiwa ...Nchi ngumu sana hii [emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatumia mbinu za kiwaki sana kupumbaza vijana na ujinga wa vijana wanaona kweli wamesaidiwa ...Nchi ngumu sana hii [emoji16][emoji16]
Kama kweli wako na Nia ya kuwaisaidia, wawapatie mtaji plus mafunzo sahihi ya biashara!Wanatumia mbinu za kiwaki sana kupumbaza vijana na ujinga wa vijana wanaona kweli wamesaidiwa ...
HahahaSasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Kweli kabisaa huwezi nibebesha majukumu na unaona wazi kabisa nilisha shidwa.Kama kweli wako na Nia ya kuwaisaidia, wawapatie mtaji plus mafunzo sahihi ya biashara!
Ukifanikiwa, hautasaidiwa mahari
Ila ukinisaidia mahari peke Ake, kuna siku itabidi unisaidie unga, kumpeleka mwanangu shule...
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Kweli kabisaa huwezi nibebesha majukumu na unaona wazi kabisa nilisha shidwa.
Itabidi wawape mpaka na hela ya kutunza mwanamke uzazi mana ukose m1 ya mahari utaweza kumilsha mwanamke miezi mitatu ya uzazi..
ni ujinga wa kupenda vitu vya kupewa pewa kupenda misaada.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hawa jamaa naona lengo lao ni kuongeza single mamaz, na omba omba tu!
Na nitashangaa kuona vijana wanafurahia misaada ya kijinga hv
Maana rahisi ya msaada ni ww umeshindwa kufanya hcho kitu
Sasa kama sio kubwa, wanapewa msaada wa nn Sasa?Mahari za waislamu Huwa Sio kubwa
Pana watu upenda bureSasa kama sio kubwa, wanapewa msaada wa nn Sasa?
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]ni ujinga wa kupenda vitu vya kupewa pewa kupenda misaada.
Unakuwa mjinga kiasi hata vitu unaweza kufanya mwenyewe unataka kusaidiwa.
Hii ni aibu kwa Taifa vijana ambao ni taifa la kesho ndo kwanza wanasaidiwa kulipa mahari sijui hii nchi inaenda wapii kwelii..
Na ni kwel tunaobeba nao tofar apa saiti na panyarodi ni hizhz famiria za kisramWatu wanajua kuowa ni kugegeda. wanakuja kutujazia single mamazi na panya road....
😂😂😂sijui bhana tukiongea wanachomekea mambo ya udini ili kuleta vurugu..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Halafu Hawa ndio tunawategemea Kesho waje kutuletea uchumi wa kujitegemea
Ipo kazi sana kwenye hiki kizazi
😂😂😂😂😂😂Na ni kwel tunaobeba nao tofar apa saiti na panyarodi ni hizhz famiria za kisram
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Ndoa ni utapeli
Si ndio hapo SasaNaona waislamu mnatetea ujinga tu hapa yani mtu mahari inamshinda halafu anaingiza 15,000 kwa siku!!?