Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Kweli kabisaa huwezi nibebesha majukumu na unaona wazi kabisa nilisha shidwa.
Itabidi wawape mpaka na hela ya kutunza mwanamke uzazi mana ukose m1 ya mahari utaweza kumilsha mwanamke miezi mitatu ya uzazi..
Tatizo hapo siyo kwa kijana, kupewa mahali na kuoa, inawezekana ana kazi inayoingiza kipato Cha kula pekee, tatizo lipo kwenye mfumo wa maisha yetu wote kwa ujumla, kijana anaishi maisha ya Bora liende kwa wazazi wake anaona pia hata akioa akaishi Bora liende ni sawa tu, ila maisha hayapo kwenye msingi kabisa kijana wa kiume Hana msingi na kijana wa kike Hana msingi pia wa kupanga mipango ya baadaye kwamba naolewa ili niwe nawatoto wangapi? Mwanaume naye mhitaji aweje? Na kijana wa kiume hivyohivyo anaoa bila plan ya kuingilia kwenye ndoa, kingine Bado vijana hawapewi muda wa kujijenga na wazazi na extended family, vijana wakipewa muda wa kujijenga na wakiwa wote wawili na plan wanaweza kuishi kwa vipato vidogo na wakawa na furaha.
 
Binafsi nashindwa kuwaelewa hawa watu
Mwanaume unalipiwa mahari kivipi?
Huyo mkeo atakuheshimu na anajua umelipiwa mahari?

Watu wengi huwa wanakejeli sana jamii za kaskazini lakini hapa ndio unaona wako sahihi
Yani kaskazini mpaka wakupe binti yao ni lazima wajihakikishie kwamba una uwezo wa kumtunza na kuhudumia familia kama sivyo hawakutaki.

Hata mahari inawekwa kiwango kikubwa kiasi ili kuonyesha seriousness yako na kwamba ulijipanga kweli kwa jambo hilo sio unaamka tu asubuhi unasema naoa jioni NO.
Mtu amekosa mahari apambane atafute
Kuoa ni swala nyeti mwanaume anaanza kuonesha uanaume anapotaka kuoa kwa kujipanga sawasawa.

Waliowalipia mahari wangekuwa wanazifatilia hizo ndoa baada ya mwaka mmoja wakatoa ripoti ya ufadhili wao ndio wangejua hawajui.
 
Sasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Mahari ni hela ya mkupuo kwamfano milion moja. Kijan anayefany kibarua kwasiku elf 10, kuipata yote ni ngumu.. elf 10 hio unaishi vzr na mke ila asiwe slay queen
 
Mahari ni hela ya mkupuo kwamfano milion moja. Kijan anayefany kibarua kwasiku elf 10, kuipata yote ni ngumu.. elf 10 hio unaishi vzr na mke ila asiwe slay queen
Kama lengo na madhumuni ya kuoa yapo, basi anaweza Anza kujichanga taratibh kwa kuweka akiba kutoka kwenye hela anayopiata
Na kama hawezi kuweka akiba, basi kuoa kwake ni mzigo maana inaonekana hyo hela inamtosha yeye peke Ake!
Shida sio mahari, shida iliyopo ni uwezo wa kuhudumia familia
Kama hela ya kuoa anasaidiwa,basi tujiandae hata kulea familia atasaidiwa
 
Ni rahisi sana kupata pesa ya kulipa chumba kwa mwezi 25000 na kula kila siku sh 15,000,lakini ni ngumu sana kupata kwa pamoja sh 500,000,za mahari
Muislam gani anaolewa kwa mahari ya laki 5? Tangu nimepata akili hadi sasa nazeeka sijawai shuhudia mahari ya kiislam iliyozidi laki na nusu na hapo bado inakopwa!!
 
Muislam gani anaolewa kwa mahari ya laki 5? Tangu nimepata akili hadi sasa nazeeka sijawai shuhudia mahari ya kiislam iliyozidi laki na nusu na hapo bado inakopwa!!
Kunamtu kaolew mwez wa 5 mahar milioni na laki 3 na ni muislam
 
Mwanamke anae kubali kuishi kwenye kachumba ka elfu 25000 mahari yake haifiki hata Laki moja
Usikute JF huenda ikawa watu maalum alafu sisi wengine tumevamia tu kujiunga maana hiki ulichoandika nimeshangaa, huku mtaani nakoishi 25K, 30K ndio being ya vyumba na watu wameona wanaishi katika hivyo vyumba mpaka kwetu tumepangisha familia 3 vhumba 25K Mkuu wewe unaishi Mars au Osterbay labda
 
Binafsi nashindwa kuwaelewa hawa watu
Mwanaume unalipiwa mahari kivipi?
Huyo mkeo atakuheshimu na anajua umelipiwa mahari?

Watu wengi huwa wanakejeli sana jamii za kaskazini lakini hapa ndio unaona wako sahihi
Yani kaskazini mpaka wakupe binti yao ni lazima wajihakikishie kwamba una uwezo wa kumtunza na kuhudumia familia kama sivyo hawakutaki.

Hata mahari inawekwa kiwango kikubwa kiasi ili kuonyesha seriousness yako na kwamba ulijipanga kweli kwa jambo hilo sio unaamka tu asubuhi unasema naoa jioni NO.
Mtu amekosa mahari apambane atafute
Kuoa ni swala nyeti mwanaume anaanza kuonesha uanaume anapotaka kuoa kwa kujipanga sawasawa.

Waliowalipia mahari wangekuwa wanazifatilia hizo ndoa baada ya mwaka mmoja wakatoa ripoti ya ufadhili wao ndio wangejua hawajui.
Kwahiyo mahari ndio kipimo cha kuwa na uwezo wa kuhudumia mke.
 
Mahari ni hela ya mkupuo kwamfano milion moja. Kijan anayefany kibarua kwasiku elf 10, kuipata yote ni ngumu.. elf 10 hio unaishi vzr na mke ila asiwe slay queen
Kama huwezi kutunza milioni 1 kwanini uoe kwa milioni 1?
 
Kama lengo na madhumuni ya kuoa yapo, basi anaweza Anza kujichanga taratibh kwa kuweka akiba kutoka kwenye hela anayopiata
Na kama hawezi kuweka akiba, basi kuoa kwake ni mzigo maana inaonekana hyo hela inamtosha yeye peke Ake!
Shida sio mahari, shida iliyopo ni uwezo wa kuhudumia familia
Kama hela ya kuoa anasaidiwa,basi tujiandae hata kulea familia atasaidiwa
Hela ya kutosha kuhudumia mke Ni kihasi gani mfano
 
Asilimia 70 ya vijana kipato chao hakivuki 10,000 kwasiku seems kwa standard minazoweka maisha yanheaimama kuendelea
Ni kweli ila ukiwa na familia ndo changamoto mkuu
 
Ni kweli ila ukiwa na familia ndo changamoto mkuu
Sasa ndio watafnyaje maisha yashakuwa hivyo nature inawataka waoe na umri unaenda tena nakwambia kijana aliye na mshahara wa 300,000 ndiye vijana wengine wanamuonea donge standard zinazoandikwa humu JF tofauti na uharisia
 
Sasa ndio watafnyaje maisha yashakuwa hivyo nature inawataka waoe na umri unaenda tena nakwambia kijana aliye na mshahara wa 300,000 ndiye vijana wengine wanamuonea donge standard zinazoandikwa humu JF tofauti na uharisia
Maisha yanajulikana ndio lakini mzee mkiwa wawili atleast 10k inatosha lakini subiri ufike wakati wa uzazi ndo utaona changamoto, kingine hivi mke akilipiwa mali ya mwingine tofauti na muoaji kutakua na heshima kweli hapo?
 
Maisha yanajulikana ndio lakini mzee mkiwa wawili atleast 10k inatosha lakini subiri ufike wakati wa uzazi ndo utaona changamoto, kingine hivi mke akilipiwa mali ya mwingine tofauti na muoaji kutakua na heshima kweli hapo?
Heshima hailetwi na mahari, mwanamke akiijia dini heshima tosha kingine familo ni portifolio ukisema je ataweza kilea watoto na kisomesha mimi leo Sina kitu nafanya kazi ya 150K na umri wangu wakuoa nauhakika nikioa Leo mpaka mtoto namuandikosha darasa la kwanza hio ni miaka 9 mbele unashani Mimi nitakuwa yuleyule mzee so no vizuri kua Leo familia inaanzia kuwa simple kwenda complex mpaka ikowa complex Mimi pia nishakuwa more than complex sio unaoa Leo una watoto ada, kliniki, malaria, manini no
 
Heshima hailetwi na mahari, mwanamke akiijia dini heshima tosha kingine familo ni portifolio ukisema je ataweza kilea watoto na kisomesha mimi leo Sina kitu nafanya kazi ya 150K na umri wangu wakuoa nauhakika nikioa Leo mpaka mtoto namuandikosha darasa la kwanza hio ni miaka 9 mbele unashani Mimi nitakuwa yuleyule mzee so no vizuri kua Leo familia inaanzia kuwa simple kwenda complex mpaka ikowa complex Mimi pia nishakuwa more than complex sio unaoa Leo una watoto ada, kliniki, malaria, manini no
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom