Below 40
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 884
- 1,739
Nikihesabu hasara za ndoa hata buku zinafika ila faida mbili tu sioni.Sio kwamba umekosa mahari mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikihesabu hasara za ndoa hata buku zinafika ila faida mbili tu sioni.Sio kwamba umekosa mahari mkuu?
Na Hapo kumbuka hio mahari inapangwa na muolewaji mwenyeweSasa kama mahari kwenye dini ya kiislam imekushinda, utaweza kumtunza huyo mke kweli.....this is a joke aseee 😂 😂 😂 😂
waambieSasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Mtu yoyote mzinifu hawezi jua thamani ya ndoa
si wote wazinifuMtu yoyote mzinifu hawezi jua thamani ya ndoa
Nonsense ,unapata 15000. Kwa siku ushindwe kulipa mahali ? , Una wazimu nini wewe dogo ?Tatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
Unataka umringishie nani kwamba ulikufa ukiwa kizee fukara?Mh Bora Tanga mkuu
Nadhani ameongeza "zero-ziro bin sufri" pale mbele.Nonsense ,unapata 15000. Kwa siku ushindwe kulipa mahali ? , Una wazimu nini wewe dogo ?
[emoji16][emoji16]
Ndoa ni uwekezaji
Sawa hatuwez bishanaMaisha yako yalobaki hapa duniani hakuna kitu kama hiko.
Umeelewa nilichoandika?Kwahiyo mahari ndio kipimo cha kuwa na uwezo wa kuhudumia mke.
Sasa utaonaje hizo faida na hujaoa mkuu?Nikihesabu hasara za ndoa hata buku zinafika ila faida mbili tu sioni.
Sasa ndoa ni nini kama sio kufanya mapenzi?Sasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Kwanza mambo ya mahari ni upuuzi tu na kudhalilisha wanawake. Ndiyo maana baadhi ya wanaume wanatumia maumivu ya mahari walizotoa kutesa na kunyanyasa wake zao. PINGA KUTOLEWA MAHARITatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
Hakikasidhani kama issue ni mahari, aina ya maisha ya sasa inafanya vijana wengi kutoona umuhimu wa kuoa/kuolewa.
Kama laki ya mahari imemshinda haya mama akiwa mzazi ataweza kuhudumia haya watoto wakiumwa ghafla ataweza kuwatibia?Tatizo lako ufahamu wako uko chini mfano mahari sh 1000,000,muoaji hana lakini anayo kazi kila siku ya kumpatia sh 15,000,za kutumia na mkewe kukusanya pesa sio kazi rahisi baba
Kuna uwezekano wa kupambana kupata hela ya kula mtu na mkewe lakini ni gumu kupata pesa ya pamoja 500,000 1000,000 kulipa mahari ila kwa mtu mzinifu anashangaa mtu kulipiwa mahari jambo hili liko kiimani zaidi nduguPagumu ni pale kuhakikisha binti wa watu anapata milo mitatu kwa wakati, bado mavazi n.k, kama ameshindwa kulipa mahari si dhani kama ataweza kuhakikisha kiumbe kinachopumua kinapata mlo sahihi kwa wakati.
Hapa muarabu kaigiaje?Kwakuwa ni wewe wacha nikuache, maana nakujua kwako muarabu hana baya