Mwanamke anae kubali kuishi kwenye kachumba ka elfu 25000 mahari yake haifiki hata Laki mojaNi rahisi sana kupata pesa ya kulipa chumba kwa mwezi 25000 na kula kila siku sh 15,000,lakini ni ngumu sana kupata kwa pamoja sh 500,000,za mahari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke anae kubali kuishi kwenye kachumba ka elfu 25000 mahari yake haifiki hata Laki mojaNi rahisi sana kupata pesa ya kulipa chumba kwa mwezi 25000 na kula kila siku sh 15,000,lakini ni ngumu sana kupata kwa pamoja sh 500,000,za mahari
Kuna wanaotaka hadi mil 50Kwani mahari sh ngapi jamani
Kama mtu ana malengo ya kuoa, anaweza saive hyo pesa na ikafikia Kiasi Cha mahariNi rahisi sana kupata pesa ya kulipa chumba kwa mwezi 25000 na kula kila siku sh 15,000,lakini ni ngumu sana kupata kwa pamoja sh 500,000,za mahari
[emoji23][emoji23]Kuna wanaotaka hadi mil 50
Ndo kitu Cha kujifikiria!!Mahari walishindwq , kuhudumia familia wataweza? Ndoa ni majukumu sio kuchochea/kukoyonga !!!!!
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Chumba Cha 25k saiv ni sawa, lakini baada ya miaka mitatu ya ndoa itakuaje?Mwanamke anae kubali kuishi kwenye kachumba ka elfu 25000 mahari yake haifiki hata Laki moja
Umesahau kuwa wabongo wengi kazi zetu ni zakutuingizia ela ya kula na Kodi ya pango tu?Sasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu
Kwan unanunua hisa? Kwamba baada ya mda zitaongezeka thamanKuna wanaotaka hadi mil 50
[emoji16][emoji16]Kwan unanunua hisa? Kwamba baada ya mda zitaongezeka thaman
Unawekeza nn had utoe mahari ya 50ml?[emoji16][emoji16]
Ndoa ni uwekezaji
Tena usiovumilikaHuwezi kosa mahari ni kuendelea kufuga ujinga tu ..
Kama umeshidwa kupata mahari itawezaje kujenga nyumbaa? utawezaje kupeleka watoto shule? utawezaje kutunza familia? huduma muhimu kama chakula matibabu pale inapo hitajikaa.Tena usiovumilika
Si ndio hapo !!Kama umeshidwa kupata mahari itawezaje kujenga nyumbaa? utawezaje kupeleka watoto shule? utawezaje kutunza familia? huduma muhimu kama chakula matibabu pale inapo hitajikaa.
Watu wanajua kuowa ni kugegeda. wanakuja kutujazia single mamazi na panya road....Si ndio hapo !!
Kuoa sio mchezo...kama ukiwa peke ako tu , majukumu yamekushinda au unayatimiza kwa tabu
Vipi mkianza kuwa wawili Hadi watano?
Ndoa inahitaji kujipanga kwanza
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Watu wanajua kuowa ni kugegeda. wanakuja kutujazia single mamazi na panya road....
😂😂😂[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Kuna maisha baada ya ngono
Sasa hapo ndipo mtafutano unapoanzia
Nchi ngumu sana hii [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]