Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Vijana walioshindwa kuoa kisa mahari sasa wamelipiwa ili waweze kuoa, wengi wao watoka Dar es Salaam

Kuna Makonde wangapi sasa kwenye jamii wanaoweza kufanya hivyo??!!!
Sio lazima wawe wengi alimuhimu ufahamu kuwa wapo wenye uwezo wa kumpa mke mahari ya m 50 pia wapo wasio na uwezo wa kumpa hata mahari ya 100,000,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo unataka kuniambia yule Shekhe ametoa wastani wa 1,000,000 x 70?..Ninavyojua hapo ukute wamelipiwa mahari haizidi 100,000 kwa kila moja.
Hayo ni mawazo yako kwanza ufahamu mahari chanzo chake ni kwa jamii ya kiisilamu,mahari haina kiwango wala mfano hili hiwe mahari muolewaji amtajie muoaji kitu gani anahitaji hili hawe mkewe,kama pea ya kanga au yebo au nyumba au gali au au chochote hatakacho kiitaji muolewaji kutoka kwa .talajiwa wake ndio mahari hiyo umpangie muolewaji uisilamu hauko hivio ndugu mwenye jukumu la kujithamisha kwa mtarajiwa wake ni muolewaji sio sheikh wala mzazi labda muolewaji kama bado ni mdogo abae hajajua thamani ya vitu hapo wazazi watamsemea
 
Hukumuela nadhani. Maana yake ni kuwa siyo wanawake wengi wanatolewa mahari kubwa. Kama mwanamke anaweza kuishi na mume wake kwenye chumba kimoja cha 25k unategemea atakuwa ameolewa kwa mahari kubwa? Say ya milioni 1??
Nimemuelewa sana hana maana huyo jamii ya wafugaji inaoa mke kwa ng,ombe wasukuma thamani labda ya milioni 10,000,000/wanaenda kuishi kwa kulalia ngozi wasomali wanaoa kwa vito via thamani mpaka milioni 50,000,000/wanaenda ishi kwenye vjumba via nyasi mahari kubwa wala ndogo sio sababu ya kuishi kwenye ghorofa inategemea tamaduni dini,kwenye uisilamu mahari ni haki ya muolewaji na yeye ndie anae taja nini anataka kutoka kwa muoaji sio wazazi wala walezi wala sheikh,muolewaji akiwa ajui thamani ya vitu wazazi watamsemea pia katika uisilamu niruhusa kuomba kulipiwa mahari hiwapo kama umeshidwa mfano umempenda mwanamke akamposa akamwambia kiwango ambacho huna uwezo nacho lakini familia hiyo na mke wamekupendeza unaweza kwenda kwa sheikh ukamwambia kuwa nimepata mke lakini kiwango alichotaka sina naomba nguvu sheikh atakufanyia utalatibu utalipiwa mahari utaozeshwa
 
Majamaa mapumbavu haya, always misaada yao huwa yakipumbavu tu, kuna ile misaada sijui wanaita sadaka wanachinja mambuzi+mang'ombe kulisha watu badala ama kama wana Uchukia umasikin kwann wasigawe mitaji kwa wahitaji? Ama hizo pesa za kuwalipia vijana wapumbavu wapate ndoa kwann wasiwape wazifanyie maendeleo ili wasinyanyase mabinti za watu kwa njaa ktk ndoa?

Kuna mijanaume kabisa na ndevu zao imeomba kusaidiwa, Aisee wanaume wa hivyo hawanaga mchango wowote kwa jamii wala kwa taifa, hii misaada ya kipuuzi ipingwe na serikali inazalisha vijana wavivu na tegemezi,

Wavaa kobazi mnaharibu jamii
Upumbavu ulio tukuka ni kudharau mila imani za watu na kuona mila zako ndio bora hali ya kuwa mila imani za wenzio hazikuzuii kufanya mambo yako huo ndio upumbafu pia upumbavu ni kujiona matawi ya juu hali yakuwa huna lolote la maana huo ndio upumbafu hilio tukuka
 
Mahari kwenye ndoa za mkeka si huwa laki tu au mbili hivi.

Baada ya mwaka si ajabu ndoa zaidi ya 80% zitakuwa zishavunjika labda Kishki atoe na pesa ya matumizi kila mwezi.
 
We mshukuru aliye kulipia acha kubwela hapa. kiasi umelemazwa akili mpaka unabisha vitu vya wazi kabisaa..
Unajikweza tu limbukeni mshamba tu huna lolote kazi kujikweza tu
 
Mahari kwenye ndoa za mkeka si huwa laki tu au mbili hivi.

Baada ya mwaka si ajabu ndoa zaidi ya 80% zitakuwa zishavunjika labda Kishki atoe na pesa ya matumizi kila mwezi.
Unajikweza tu huna lolote kwani nyiyi wakirito ninaishi sayali gani?mbona tuko wote mitaani tunawaona kipato hakipishani maisha ni yale yale wake zenu kutwa serikali za mitaa na dawati kudai talaka tatizo lenu kujifanya mnaishi sayali tofaoti na hii tunayo ishi sisi mnajikweza nini hapa niko sumbawanga wote wakirito maisha yao kuozesha kwao kuko wazi kawadanganye wajinga wenzio
 
Vijana acheni mawazo ya ovyo na kupeana moyo hapa.

Kijana ukitaka mke aulali na kuamka ukaenda barabarani ukakamata mwanamke na kupeleka kwenu/kwako.

Ni lazima wazo linakujia kulingana na hatua ya maisha yako ulipofikia na baadaye inakupeleka kuona hitaji la kuwa na mke, hapo ndipo mawazo yanachakata vitu vingi sana, Uchumba, NDOA, Mke, Watoto, Assets nk.

Kijana lazima upambane ukusanye pesa kabla ya kuwa na mke, ndiyo maana kwenye kikao cha harusi unaulizwa wewe una nini ili tuanzie hapo.

Unapowaza hayo unarudi mwanzo sasa 'PESA', kama huna kazi au unayo ufanye nini ili kufikia goal lako. Hii ni kawqida sana kwa kijana yeyote na kama upo hukuwa na huna mawazo ya aina hii basi nenda kapewe mke alafu sepa naye.

Kijana huwezi kupewa mke kaka huna mipango endeleavu ya kimaisha, utambwaga tu hapo mbele huyo binti, kijana lazima uwe na njia yako, kijana lazima uwe na ujasiri, self confidence in social, kijana unapopewa ujasiri na taasisi huyo mke unategemea atakuwa anakuangaliaje?.
Huo ni ujinga wako ulio andika hapa unataka jamii yote iishi kama wewe je ndio mala ya kwanza kuona kusikia kijana akiozeshwa akilipwa mahari?hata hivio vikao via harusi umasikini tu ndio unao wasukuma kuchangiwa kuketi vikao mwenye uwezo hachangishi mtu anaalika watu wanakuja na mtumbo yao kula na kunywa ukumbi tu anakodi 10,000,000 kualika kutaka michango ni umasikini tu hakuna tofaoti na anayelipwa mahari kidume simama wewe pekee yako wape watu 500 mualiko kadi waje wale wacheze Wangwe kisha muagane
 
Huo ni ujinga wako ulio andika hapa unataka jamii yote iishi kama wewe je ndio mala ya kwanza kuona kusikia kijana akiozeshwa akilipwa mahari?hata hivio vikao via harusi umasikini tu ndio unao wasukuma kuchangiwa kuketi vikao mwenye uwezo hachangishi mtu anaalika watu wanakuja na mtumbo yao kula na kunywa ukumbi tu anakodi 10,000,000 kualika kutaka michango ni umasikini tu hakuna tofaoti na anayelipwa mahari kidume simama wewe pekee yako wape watu 500 mualiko kadi waje wale wacheze Wangwe kisha muagane
Umeandika upupu gani huu kijana?.

Kwanza nashukuru ujumbe umeupata, umekugusa na umekuumiza hasa na ndiyo maana umekurupuka kuujibu.

Pili, iwe iliwahi tokea na yawezekana wewe uliozeshwa ukiwa huna hata bakuli la kunawia uso ila haiwezi kubatirisha ukweli wa maisha, kijana lazima ujiweze ndipo ufikilie KUOA usikurupuke ukiwa hujui kesho unakula nini!.

Narudia, kijana lazima upambane ukusanye pesa kabla ya KUOA, usikurupuke ukiwa huna kitu.
 
Sasa kama umeshindwa kulipa mahali utaweza kuishi na mke, nyie vijana wa madrasa msikimbilie na mkafikiri ndoa nikufanya mapenzi tu

Hawakua na pesa ya pamoja mtu anaambiwa Mahari Laki 5 ya pamoja hana Ndio Sbb sio kwamba hawana kazi wanavishughulo vyao vya Kila siku
 
Chumba Cha 25k saiv ni sawa, lakini baada ya miaka mitatu ya ndoa itakuaje?
Kama hela yake inaishia kwenye kula na kulipa Kodi, vp akiongeza familia?
Kuoa sio jambo dogo, ndoa ni majukumu

Maisha yanabadilika wewe ach ushamba mtu Kama huyo baada ya miaka miwili unakuata kipato kishazidi kapata michongo mipya na Pia ukiishi na mwenzio na ukibahati umempata mwenye akili mnaweza hata ku save elf 5 Kwa siku Au ef10
 
Kama kweli wako na Nia ya kuwaisaidia, wawapatie mtaji plus mafunzo sahihi ya biashara!
Ukifanikiwa, hautasaidiwa mahari
Ila ukinisaidia mahari peke Ake, kuna siku itabidi unisaidie unga, kumpeleka mwanangu shule...

Kwa taarifa yako hao wote wana shughuli zao Hamna aloozeshwa hapo hana shughuli
 
Maisha yanajulikana ndio lakini mzee mkiwa wawili atleast 10k inatosha lakini subiri ufike wakati wa uzazi ndo utaona changamoto, kingine hivi mke akilipiwa mali ya mwingine tofauti na muoaji kutakua na heshima kweli hapo?

Kwani serikali mshahara inalipa kiasi gani kima cha chini [emoji23][emoji23][emoji23] si sawa na elf15 kwa siku so hao wote wasiowe? Unatakiwa kupata kiasi gani kwa siku Ndio uwoe?! Maisha Kila mtu aishi apendavyo kuna watu wana Magari kuna wanaopanda daladala so wewe unaweza mcheka mpanda daladala Sbb we una gari? Hujui huyo mwenye gari alianzia kupanda daladala na kukaa kwenye chumba kimoja!!!
Maisha ni Safari ndefu Kila mtu ana njia zake za kutoka na hamna anaezijua pengine hizo ndoa Ndio kufunguka kwa Rizki zao muhimu kufanya kazi siku ya kutoka Mungu Ndio anajua
 
Maisha yanabadilika wewe ach ushamba mtu Kama huyo baada ya miaka miwili unakuata kipato kishazidi kapata michongo mipya na Pia ukiishi na mwenzio na ukibahati umempata mwenye akili mnaweza hata ku save elf 5 Kwa siku Au ef10
[emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Umeandika upupu gani huu kijana?.

Kwanza nashukuru ujumbe umeupata, umekugusa na umekuumiza hasa na ndiyo maana umekurupuka kuujibu.

Pili, iwe iliwahi tokea na yawezekana wewe uliozeshwa ukiwa huna hata bakuli la kunawia uso ila haiwezi kubatirisha ukweli wa maisha, kijana lazima ujiweze ndipo ufikilie KUOA usikurupuke ukiwa hujui kesho unakula nini!.

Narudia, kijana lazima upambane ukusanye pesa kabla ya KUOA, usikurupuke ukiwa huna kitu.
Umechunguza hawa walio lipiwa mahari hawajui kesho watakula nini?maisha hayana tafusiri ndugu pambana na hali yako
 
Kama umeshidwa kupata mahari itawezaje kujenga nyumbaa? utawezaje kupeleka watoto shule? utawezaje kutunza familia? huduma muhimu kama chakula matibabu pale inapo hitajikaa.
Upumbafu ni kujitia kujua maisha ya mtu ya baadae na kujipa imani kuwa wewe maisha hayawezi kukupiga na kuwadharau watu wanaotaka kusaidiwa huo nao ni zaidi ya upumbafu
 
Back
Top Bottom