Kilimo Ni Biashara,kwa hiyo unataka wakulima wawe watu wa kupata hasara kila mwaka? Unataka jasho la wakulima liwe linaliwa na waliokaa kimvulini? Unajuwa Bei ya mbolea msimu uliopita ilikuwa shilingi ngapi? Kwanini na wewe usiende shambani kulima ili uje uuze kwa Bei unavyotaka wewe