Vijana wampongeza Rais Samia na Serikali yake kwa kuwasha taa ya matumaini katika mioyo yao

Mama ndiye rais anayejal maskin Kwa kufungua mipaka ili vyakula vipande bei wauze mazao Yao Kwa bei nzur yule rais wa wasukuma alikuwa anajali maskin Kwa kubana mipaka ili maskin wauze mazao Yao Kwa asara, ndo maana nasema Yule alikuwa ni rais wa wajinga
 
Aina hii ya vijana wana mchango mdogo sana katika taifa🐒
Vijana wanoochakarika na kuchapa kazi wameridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais,Sasa wewe endelea kupinga pinga kwa chuki zako binafsi
 
Kama hauelew Kiswahili unaelewa lugha gan au uko vyombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…