Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Vitupie hapa MkuuVitabu vingine vizuri ni E-Myth kinaongelea kuhusu kuanzisha MFUMO WA BIASHARA ambao ndio kiini cha mafanikio kwenye biashara. Kingine ni 21 Secrets of Self Made Millionaires, kuna Richest Man in Babylon, pia kipo The millionaire Next Door, Get Rich Your Own Way n.k
Ukivisoma hivyo huwezi kubaki kama ulivyokuwa mwanzo
I am Serious. Coz unapenda kufanya kazi masaa machache kuliko unavyopenda kutusua kwenye maisha.Teh serious? Au wanisanifu?
Sijajua namna ya kuviweka humu kiongozi. WanawekajeVitupie hapa Mkuu
Weka Link [emoji821] aiseee Dah!!Sijajua namna ya kuviweka humu kiongozi. Wanawekaje
huo ndo mzunguko kwamfano ndugu mtu wa darasa la saba amejaaliwa kampuni hatokuajir? usiumize kichwa na mfumo we km umechoka kuajirwa jipange ili ufanye yanayokupa uhuruDaah wakuu mna mawazo mazuri sana... Sipati picha mtu na degree yako unapelekeshwa na diwan wa la saba au rc kama bashite aliyefoji cheti
Mkuu hata ukiingia Google tu, ukiandika jina la hivyo Vitabu (kimoja kimoja) unachagua cha pdf unadownload kiulaini tuWeka Link [emoji821] aiseee Dah!!
kwamba haiwezekani masaa 8 kazini the rest kufanya yangu?I am Serious. Coz unapenda kufanya kazi masaa machache kuliko unavyopenda kutusua kwenye maisha.
You can't have both.... Either uwe wage earner for your entire life (work 8 hours all your life) , au uwe hustler with your sweat for some time before money start work for you (start to work 0 hours for the rest of your life)
Am I extreme? I like that, coz I don't intend to achieve average.kwamba haiwezekani masaa 8 kazini the rest kufanya yangu?
Dah sidiss kujiajiri, ila naona you are exaggerating asee kama vile ukijiajiri ndo umetoka mazima.
Anyway yote sawa kila laheri
aiseee..umejuaje mkuu??Naona walio danganya umri mnatafuta chaka
Mkuu sizan kama umeelewa nilichoandika, mimi naongelea madiwani ambao wanakutana na wafanyakazi wa serikali na sio darasa la saba wanaomiliki kampuni!!huo ndo mzunguko kwamfano ndugu mtu wa darasa la saba amejaaliwa kampuni hatokuajir? usiumize kichwa na mfumo we km umechoka kuajirwa jipange ili ufanye yanayokupa uhuru
Changamoto ni sehemu ya maishaKujiajiri kuzuri ila kuna changamoto zake
Kwa hiyo wazo la kujiajir limekuwa dhambi?Naona walio danganya umri mnatafuta chaka
Chief nilikutumia pm uliiona???