Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Mume wangu ana nyota zake za kutosha ila hana pesa kubwa kama mnavyoaminishana mtaani...Jiajiri mkuu...
Kuhusu jeshi wafate wenye nyota kuanzia kapten wakueleze hali halisi
 
umemshauri vyema,
 
mi ni mmoja kati ya watu wenye plan ya kujilipua....

nachukia saaana kumuachia MTU muda wangu mwingi ili atengeneze faida zake.


soon nitatumia muda wangu kwa faida yangu.....

but before ya yoote... hizi ndizo nguzo muhimu.

1. miliki Nyumba 4. mbili kati ya izo ziwe maeneo mazuri kibiashara.

2. miliki mashamba si chini ya heka 50. 20 kati ya izo.... ziwe na mazao endelevu. eg. korosho... minazi... miti.. kahawa n.k

3. kuwa na mifugo... kuku..ngombe... mbuzi...nguruwe...

4. tenga mtaji wa m20 tu.....
acha kazi



hauwez juta kamwe.
 
Kwa mfanyakazi ategemeaye mshahara tu ni ndoto kufanikisha haya; Hususani wanaoishi mjini.

Ikiwa mtumishi ategemeaye mshahara ni changamoto kujenga nyumba moja tu, je ndio atakuwa na uwezo wakujenga nyumba 4 kupitia mshahara wa mwajiri wake??

Kimsingi kupata mafanikio nje ya ajira hakutegemei haya yote bali ni akiri yako tu na jinsi unavyojishughulisha.

Sababu MAISHA YAKO YANATOKANA NA UNAVYOWAZA NDANI YAKO
 
haujaelewa..... namaanishi kwa kutumia akili ukipata haya hapo ndipo kuacha kazi hakotokufanya uwe na mawazo.
 
Haya ni mawazo mazuri lakini kumbuka mafanikio haya uliyoyasema ni ya mfanyakazi ambae ndo anastaafu.mpaka ukapate hivyo vyote si leo wala kesho na unaweza ukavikosa kabisa ukiwa kazini labda tu kuna watu kwenye mashirika ya kigeni NGO wenye nafasi nzuri na mishahara ya milion 7 mpka 8 huko ndo wanaweza kujiandaa kwa hivi ulivyosema wewe! Mimi nimeacha kazi nikiwa na nyumba moja tu na duka moja la mtaji wa milion 9 na gari moja rav4 kwisha.
 
kweli mkuu ilike your comment hapo ndo watu wengi hufeli unakuta mtu kalipia chumba na na kuweka frem katika mandhari nzuri ili iendane na mazingira anayotaka kununua miundo mbinu mingine kama meza shelves mtaji unakata
 
good comment
sasa watu wanaacha kwa kukurupuka tu baadae hata ela ya kula anakosa
 
Unavyo hivyo vitabu...naomba uweke attachment. Nataka nivisome
 
Kujiajiri inategemea inspiration yako, and ni vigumu kumanage business kama unafanya hivyo kwa kuiga mtu,.....
Waliofanikiwa kuacha kazi wakaingia kwny business na wakafanikiwa ni wao walikuw na mawazo hayo ya kujiajiri toka kipind wakiwa wadogo/shuleni, hawa kwao inakuwa rahisi maana anaingia kazini kwa lengo la kutafuta capital tu, mtu wa namna hii hata kwa mtaji wa mil8 tu anaweza kuwa Billionea ndan ya muda mfupi tu, hawa huwa rough sana kimwonekano hawana show off za ovyo ovyo, wanakuwa tayar kuish maisha ya kula wali maharage (buk ) wakat kaz aloacha staff tea tu buk5 , anakuwa tayar kulala chini(Hana kitanda) wakat hela ya kitanda anayo but analinda mtaji, anauwezo wa kulinda mtaji wake katika hali ngum coz anajua akiharibu itachukua muda kufika anapoenda,... kujiajiri inataka moyo but kiukwel kama una strategies unatafanikiwa, binafs niliacha chuo kabsa ili nipige biashara, mtaji unakuwa kwa kasi mpk najilaum sijui kwa nin skuishia tu f6 maana kama kiingereza kimeshakaa hesabu za hela zpo, ....ukitaka kukuza mtaji shart moja kama umeanza na mil1 ukafika mil5, usitumie faida Bali fanya hiyo mil5 yote mtaji hapo utafika mil20 then wekeza hata mil15 tena, taratibu utasogea mil50, endelea kukuza mtaji nakwambia within ten yrs mil 100 utaona pesa ya kawaida sana, kingine wakat unafanya biashara hii,unakuwa unafanya research kitu gan kingne ubaweza kufanya upanue wigo wako,..vijana wengi wanashindwa coz they know nothing about capital management in business issues, unakuta anamtaj wa mil10 AKIPATA faida yan tayar ashawaza kununua S8 edge, sijui gar, au akapange nyumba kali, ndan ya muda mfupi tu, hawajui lolote kuhusu DEAD TIME in business, hiki ni kipind ambacho hakuna faida unayoitumia zaid unakuza mtaji, haya Mambo hayahitaji shule ni natural kabsa, maana waliosomea biashara wameajiriwa kama manager, sjui account nk
 
Mkuu nimekuelewa sana. Ila naamini sio lazima uwe na mawazo hayo tangu ukiwa mdogo. Hata mimi haya mawazo ya Kuacha kazi nimepata may be 2 years ago, japo nikiri nina uwezo wa ku save fedha.

Ila mengine yote nimekubali mkuu. Cha msingi ni kutoridhika. Ukiwa na milioni 10, go for 20,ukiwa na 20 go for 50 hivyo hivyo mpaka ufike malengo yako. Mtu hutakiwi kuridhika haraka. Hata ukifikisha 100 million ishi kama ulivyokuwa unaishi ukiwa na 10 milioni
 
Wakuu mwenye vitabu vifuatavyo au ajuaye jins na wapi kwa kuvipakua atusaidie

Business school for people who likes helping people by Kiyosaki
2. What works on a wall street by James P. O. O’shaughness
 

Mkuu tutafutane mim nina kibali cha maliasili cha uvunaj wa miti
 
Nimekusoma!!!
 
km ulifanya kazi kwa miaka 20 kwa mshahara wa laki 5 kwa mwez.... na ukashndwa kupata ivyo vitu had unastaafu....

ni uzembe pia.
 
km ulifanya kazi kwa miaka 20 kwa mshahara wa laki 5 kwa mwez.... na ukashndwa kupata ivyo vitu had unastaafu....

ni uzembe pia.
Miaka 20 kazini huwezi kua kwenye kundi la wanaotakiwa kuacha kazi na kwenda kujitegemea sasa,miaka yote hiyo upo kwenye kazi za watu si afadhali uendelee tu mpaka uzeeni.kaa kazini miaka mitano tu au 8 then nenda kajitegemee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…