Kujiajiri inategemea inspiration yako, and ni vigumu kumanage business kama unafanya hivyo kwa kuiga mtu,.....
Waliofanikiwa kuacha kazi wakaingia kwny business na wakafanikiwa ni wao walikuw na mawazo hayo ya kujiajiri toka kipind wakiwa wadogo/shuleni, hawa kwao inakuwa rahisi maana anaingia kazini kwa lengo la kutafuta capital tu, mtu wa namna hii hata kwa mtaji wa mil8 tu anaweza kuwa Billionea ndan ya muda mfupi tu, hawa huwa rough sana kimwonekano hawana show off za ovyo ovyo, wanakuwa tayar kuish maisha ya kula wali maharage (buk ) wakat kaz aloacha staff tea tu buk5 , anakuwa tayar kulala chini(Hana kitanda) wakat hela ya kitanda anayo but analinda mtaji, anauwezo wa kulinda mtaji wake katika hali ngum coz anajua akiharibu itachukua muda kufika anapoenda,... kujiajiri inataka moyo but kiukwel kama una strategies unatafanikiwa, binafs niliacha chuo kabsa ili nipige biashara, mtaji unakuwa kwa kasi mpk najilaum sijui kwa nin skuishia tu f6 maana kama kiingereza kimeshakaa hesabu za hela zpo, ....ukitaka kukuza mtaji shart moja kama umeanza na mil1 ukafika mil5, usitumie faida Bali fanya hiyo mil5 yote mtaji hapo utafika mil20 then wekeza hata mil15 tena, taratibu utasogea mil50, endelea kukuza mtaji nakwambia within ten yrs mil 100 utaona pesa ya kawaida sana, kingine wakat unafanya biashara hii,unakuwa unafanya research kitu gan kingne ubaweza kufanya upanue wigo wako,..vijana wengi wanashindwa coz they know nothing about capital management in business issues, unakuta anamtaj wa mil10 AKIPATA faida yan tayar ashawaza kununua S8 edge, sijui gar, au akapange nyumba kali, ndan ya muda mfupi tu, hawajui lolote kuhusu DEAD TIME in business, hiki ni kipind ambacho hakuna faida unayoitumia zaid unakuza mtaji, haya Mambo hayahitaji shule ni natural kabsa, maana waliosomea biashara wameajiriwa kama manager, sjui account nk