Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

Nilikua sijui hii context aisee!! Mimi najua bid tu. Hii context inakuaje? Kazi zake nazipatia wapi au kazi zake wanalist kama bid?
click button ya work then chagua browse contests utaziona, kwa sasa nadeal sana na freelancer zaid ya fiverr maana uwa kule naweza pata kazi moja au mbili kwa mwezi tofauti na freelancer kuna sometimes nakuwaga na kazi nyingi mpaka sikubari task ninayopewa.
 
Tuko hapa kusaidiana, feel free kupost swali... Naiman majibu yatapatikana. [emoji120][emoji120][emoji120]
Safi sana mkuu, hizi mambo zinanifanya nakaaga ndani uwa ninatoka jioni kufanya manunuzi kiasi kwamba jirnai na watu uwa wanashindwa kunielewa ningekuwa mtu wa kutoka usiku wangeshanisema mimi jambazi.
 
Safi sana mkuu, hizi mambo zinanifanya nakaaga ndani uwa ninatoka jioni kufanya manunuzi kiasi kwamba jirnai na watu uwa wanashindwa kunielewa ningekuwa mtu wa kutoka usiku wangeshanisema mimi jambazi.
Duuuh acha tu mkuu!! Huku kwetu jiwe kabana ni lazima tutafute ustaarabu mwingine maana mpaka aje kutoka madarakan si leo!! Tupambane kitaeleweka tu!!
 
Duuuh acha tu mkuu!! Huku kwetu jiwe kabana ni lazima tutafute ustaarabu mwingine maana mpaka aje kutoka madarakan si leo!! Tupambane kitaeleweka tu!!
Kabisa mkuu ni mtu kuinvest muda na kuamua kila kitu kinawezekana, nimeanza kuandika contents huku hata sijui zinaandikwaje ila kwa sasa hazinisumbui maana kwanza nishakuwa na vitendea kazi nina extensions na plugins za gram\mer, punctuations, platforms za kurecheck plagiarism, na mambo mengine.
ela nyingi ninaipata kwenye kaundika contents ndizo kazi ninazopenda kubid zaid maana zinakuwa za muda mrefu na zinanifanya iwe rahisi kuweka malengo unaweza weka malengo kwamba kila week unataka utengeneze kiasi kadhaa.
 
Freelancing kuna ushindani mkubwa ila ukifanikiwa kupata kazi ya kwanza tu, then kila kitu kita flow...

Nnashangaa sana watu wa IT wanazunguka na bahasha wakati huko nje kuna mapesa mengi tu ya programming, graphics nk...

Kuwa freelencer sio lazima iwe na degree au masters maana kuna watu fiverr wanapiga ela kwa kutafsiri english to swahili... Kitu ambacho hata mtu wa la saba anafanya!!
Hii nzuri sana ngoja nijaribu
 
Kabisa mkuu ni mtu kuinvest muda na kuamua kila kitu kinawezekana, nimeanza kuandika contents huku hata sijui zinaandikwaje ila kwa sasa hazinisumbui maana kwanza nishakuwa na vitendea kazi nina extensions na plugins za gram\mer, punctuations, platforms za kurecheck plagiarism, na mambo mengine.
ela nyingi ninaipata kwenye kaundika contents ndizo kazi ninazopenda kubid zaid maana zinakuwa za muda mrefu na zinanifanya iwe rahisi kuweka malengo unaweza weka malengo kwamba kila week unataka utengeneze kiasi kadhaa.
Lakini mkuu hizi kazi kuzifanya ni mpaka uwe na PC au hata smartphone unaweza?
 
Nimejaribu kuicheck lkn wananiambia natakiwa kufanya English test kabla ya kuplace bid. Is that how it works in freelancer?
Katika research yangu niliyofanya.... Freelancer. com kuna kitu wanakiita test, na hii sio ya language tu mfano wewe unataka kufanya projects za kihandisi kuna test za area unayotaka kufanyia kazi unaweza omba na kulipia ufanye na ukifaulu basi unawekewa kwenye profile yako na marks zako.

Ila sio lazima ufanya japo inakuongezea credit kwa employers.
 
soft copy ya kitabu cha Richdad Poordad kilichoandikwa na Robert Kayosaki.
Ahsante.
1537316356371.png

Ili kupata mamia ya vitabu vingine basi tumia hizi link
 

Attachments

Nimejaribu kuicheck lkn wananiambia natakiwa kufanya English test kabla ya kuplace bid. Is that how it works in freelancer?
kufanya test kunakuongezea thamani sijawahi fanya test kwenye platform ya freelancer ila fiverr nimefanya test nyingi za kingereza na computer skills ila ambazo hazilipiwi ndizo nimefanya
 
Kabisa mkuu ni mtu kuinvest muda na kuamua kila kitu kinawezekana, nimeanza kuandika contents huku hata sijui zinaandikwaje ila kwa sasa hazinisumbui maana kwanza nishakuwa na vitendea kazi nina extensions na plugins za gram\mer, punctuations, platforms za kurecheck plagiarism, na mambo mengine.
ela nyingi ninaipata kwenye kaundika contents ndizo kazi ninazopenda kubid zaid maana zinakuwa za muda mrefu na zinanifanya iwe rahisi kuweka malengo unaweza weka malengo kwamba kila week unataka utengeneze kiasi kadhaa.

On average per month unatengeneza pesa kiasi gani mkuu(just estimations tu mkuu).
 
Tatizo la ukosefu wa ajira limekuwa sugu sana. Ni vijana wengi tunaohitimu vyuo na sekta ya ajira ina nafasi ambabzo haziwezi kutosheleza makontena ya wahitimu yanayomwagwa mtaani kila mwaka.
Mimi ni mmoja wapo wa wahanga waliokosa ajira na kuihangaika sana kuzunguka na vyeti mtaani hadi nikakata tamaa tu baada ya mwaka mmoja nikaachana na kutafuta ajira mpaka Mungu aliponiona na kunipa plan B.
Kujiajiri mara nyingi kunahitaji mtaji hata kilimo pia kinahitaji mtaji kwahiyo wengi wanaosema mkajiajiri utakuta wao wameajiriwa.

Leo nita share nanyi njia ambayo mtu unaweza kujiajiri ukatengeneza pesa ambayo hata wale walioajiriwa wanaiota.

Kuna kitu kinaitwa freelancing. Nadhani wengi mmeshwahi kusikia kuna kazi unaweza kufanya mtandaoni na kulipwa. Na najua wengi mlishwahi kujaribu na mwisho unagundua hakuna ukweli na wala huambulii chochote na wengi mtu akiwambia kuna kazi unaweza fanya mtandaoni ukalipwa utaishia kusema ni utapeli.
Lakini ukweli ni kwamba ndiyo kuna kazi unaweza fanya mtandaoni na ukalipwa, tatizo ni kujua zipi fake na zipi za ukweli.
kuna kufanya surveys, hizi hazina malipo ya maana na mitandao mingi inatoa shopping vouvhers na siyo ela. Mfano wake ni opinion panel ambbayo inatoa kati ya 0.50 pound kwa kila survey utakyopewa na inaezekana upewe moja kila week sasa kwa mustakhabari huo huwezi tengeneza pesa ya maana zaidi ya kupoteza muda.
Kuna referals, Kuna mitandao inadai inatoa ela kwa kurefer watu wengine wajiunge. Nimejaribu kuipitia mitandao mingi ipo amayo kweli inatoa ela lakini ni kiasi kidogo hata kufikisha 10$ kwa miezi sita ni kazi. Na may zaidi mitandao mingi ya hiovyo ni ya uongo.

Ipi mitandao ya kweli na nitajuaje kama kama kazi zilizopo ni za kweli.
Kwanza kabisa zingatia hili, hakuna free money. Ukiona mtandao unakuahidi kukulipa pasipo kufanya kazi yoyote ya maana jua huo mtandao ni fake/scam. Inaidi ufanye kazi.
Pili ela unayoahidiwa kulipwa iendan na kazi, siyo unaambiwa utype page moja then ulipwee $200, katika akili ya kawaida utaona kabisa malipo hayaendani na kazi.
Tatu tumia mitandao ina yo review na kukwambbia kama mtandao flani ni Legit au scam.


Jinsi ya kutengeneza pesa.
Katika kufanya kazi mtandaoni kama freelancer nimeweza kuja na list ya mitandao ambayo ninaiamini.
1. Feverr: Huu ni wa uhakika kabisa kuna kazi nyingi sana humu. Ila inahitaji utengeneza profile na portfolio ya maana maana wanafanya screening ya nguvu kabbla ya kukuruhusu kuanza kugombea kazi zilizo postiwa.
Kuna kila aina ya kazi kuanzia kutype, graphics, we designing, content writting, music, animation, Legal Documents yani kazi zote uzijuazo wewe. Na jambbo la kushangaza ni kwamba kuna hadi wa tanzania wanapost humu wakitafuta freelancers wa kuwafanyia kazi zao.
Freelancer. Huu ni mtandao mwingine ninaouamini na nimefanya kazi nyingi hapa na babdo ninaendelea kufanya walau kila siku kazi 2 mpaka 5. Tatizo la huu mtandao kuna matapeli kutoka Asia ambao wanapenda kupost akzi za data entry zikiwa na malipo makubwa sana mfano type 30 pages for $250. Ukiona hivi machale inabidi ya kucheze. Pia malipo na kazi zote zinabidi zifanyie kwenye platform yenyewe maana mpaka mtu anakupa kazi wao freelancer wanakuwa washa hold ile ela mliyoelewana ili ukimaliza waiachie kwenye account yako sasa hawa matapeli wanakushauri mkaelewane kwenye email ukiona hivyo jua ni matapeli maana kwanza policy ya freelancer ni kuwork within the paltform ili msitapeliane. Uwa wanaondoa matangazo yao lakini incase ukikutana na scenario ya namna jua umekumbana na tapeli.
Kuna mtandao mwingine unaitwa Guru nao ni kama freelancer.
Kuna mmoja huu sasa si wa freelancer ila unaitwa Kentar Futures. Hawa watu wanalipa ela sana sana unaweza kuhisi ni matapeli ila ni kweli mtupu na nimefanya nao kazi kwa muda mrefu japo ni kwa msimu kazi zao zinaweza kuja mfululizo miezi sita halafu zikakata hata kwa miez sita mingine lakini zikianza kuja unakuta unapewa kazi kila week kazi moja na kila kazi ukimaliza unalipwa $450. Inategemea ni kazi gani ila sometimes uwa malipo anashuka kama ni kazi ndogo ya siku 4 unakuta wanalipa $115 na wanalipa direct via money wire.

Nitaendela kuwahabarisha mengine mkiwa interested.
View attachment 869024
na kama huna account ya bank unalipwaje na jee hii freelancer inazngatia nini kuifanya or mpaka ufanye registration
 
Back
Top Bottom