Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Subiri yakukute utalia peke Yako,tutakusikia ila hatutakusaidia!
 
Well said 👏. Kama mtu hajafika huko anaweza asielewe unaongea nini hapa lkn huo ndio ukweli. Kuna umri ukifika utatamani urudishe miaka nyuma ili uweke mambo sawa lkn inakuwa too late. Kudos kwa wazee wazamani, unaweza ukamuona mzee yupo yupo tu, kawaida tu, kumbe bank ana akiba ya kutosha
 
Pole mzee, kama ulifanya kazi na hukuwekeza pole zaidi. Mtaa mgumu saivi ajira hakuna ila bado tunalisongesha huku tukiwa na matarajio makubwa bado
 
Kama mtaani ndio kugumu kiasi hiki!! Hiyo ya kuwekeza naitoa wapi bro? Au tuache kuzihudumia familia na madogo wasisome...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…