Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Sio kuwekez kwenye uchumi tu, hata afya za miili yetu wakuu. Ukiusoma huu uzi vizuri utagundua wingi wa magonjwa yaliyotajwani magonjw ya mtindo wa tabia/maisha.

Vijana wengi wa sasa hatuianda kesho yetu kifedha na kiafya. Mtu anakunywa K-Vant siku 7 za wiki kila siku, hawazi akizeeka itakuwaje.
 
wengi wanasahau suala la ulaji wa afya,matunda na maji mengi hujenga afya
 
Si Ndio utumie akili uliyopewa,ponda kokoto,uza mama ntilie,kuwa konda,Lima,kuwa fundi nk wewe tuu na kujichanga kwako!
 
Figo lazima zichemke!
 
wachache sana hawalijui hili, ila changamoto yao familia kubwa na ndugu wengi, ada za watoto, kodi ya nyumba, kuishi mbali na kazini, mikopo ya kausha damu, riba kubwa za mabenki na ukosefu wa vipaumbele. weasaidie kwenye hilo.
 
Hivi miaka 50 sindiyo umri wa akina Nape,January n.k?
Au ukiwa siyo mwanasiasa,uzee unakufika mapema?
Haukufiki mapema ni wewe tuu na mfumo wa maisha!Nina mdogo wangu anaonekana yeye ndie Mkubwa,wakati nimemzidi miaka kadhaa!
 
wachache sana hawalijui hili, ila changamoto yao familia kubwa na ndugu wengi, ada za watoto, kodi ya nyumba, kuishi mbali na kazini, mikopo ya kausha damu, riba kubwa za mabenki na ukosefu wa vipaumbele. weasaidie kwenye hilo.
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua,usemi huyu ni Hakika.Mungu kwanza mengine baadae.
 
It won't save any purpose ww somesha watoto tu
 
Dah kweli unaweza walaumu bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…