Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha

Sasa wewe unatoa taarifa au unalaumu?, subiri watu husika waseme chanzo ni nini sio unaandika kwa mihemko yako ndugu

RIP makamanda mlitumika vyema
 
Habari za vifo zimeanza sasa. Ndani ya wiki 1 roho zaidi ya 50 zimepotea. Mungu atuepushie mabalaa!
 
Mungu hawape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu

Wangekuwa walinda taifa siku za usoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…