D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
walikua wanaanguka inadaiwa ni sumufigganigga,
Chanzo cha vifo ni nini kwa hao10 wale 20kule moshi tumeambiwa walikuwa wanagombania kukanyaga mafuta ya upako kwa mwamposa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walikua wanaanguka inadaiwa ni sumufigganigga,
Chanzo cha vifo ni nini kwa hao10 wale 20kule moshi tumeambiwa walikuwa wanagombania kukanyaga mafuta ya upako kwa mwamposa
Wakifunika funika nani wa kuwauliza?Tusubiri taarifa Rasmi ya jeshi
Kigogo hajwapa taarifa? Za kilichotokea?au walikuwa kwenye lile zoezi la kupigwa na tofali utosini??
mkuu hatuwezi kuambiwa kila kitu,maana inaweza amsha tafrani.walikua wanaanguka inadaiwa ni sumu
Mkuu ongea yote lakini heshimu kazi za watuJeshi kwa Africa ni mojawapo ya kazi za kijinga kuwahi kutokea
OK labda wale wachache waliopo lugalo wakipona watatuelezeamkuu hatuwezi kuambiwa kila kitu,maana inaweza amsha tafrani.
ila kuna mistake itakuwa imetokea maana si kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wanajeshi kuliko walimuJeshi kwa Africa ni mojawapo ya kazi za kijinga kuwahi kutokea
Sasa wewe unatoa taarifa au unalaumu?, subiri watu husika waseme chanzo ni nini sio unaandika kwa mihemko yako nduguUnajua haya mambo ya Jeshi sijui inakuaje kama mtu ukifiwa. Juzi tumepata msiba wa Vijana wetu zaidi ya kumi walikuwa kwenye Mazoezi. Leo ndo tunaaga hapa Lugalo Dar, kwa anayetaka kushiriki mazishi aje.
Naamini Jeshi litatolea ufafanuzi taarifa hii ili kuondoa sintofahamu.
Baada ya hapa tunaenda Muguani.
@Bramo sio unaropoka ropoka wewe mzee wa KUINULIWA'Mti unakatwa anatokea kichaa mmoja anawaambia madogo waudake'
No wonder jamaa hua wanawaita wenzao(police) ni raia wakakamavu.
dodge
👊🤝nasikia kwenye kozi akifa mtu ndo inaonekana kozi imewaivisha vijana,
wao sio wahusika wakutoa taarifa, aliyeteuliwa ndio atatupa habari kamiliOK labda wale wachache waliopo lugalo wakipona watatuelezea
Mkuu kumbuka wapo kwenye mkesha so wanachoka sana hata ukiwapeleka km 10 wataona nikama 100mkuu hii inatokana na nini maana wale walitoka kwenye zoezi la ruti na haikua ndefu sana kufika kikosini wakaanza kuanguka tu.
Na wote ni Wa kiume