Vijana wetu wa IT huko vyuoni wanafanya nini? Mbona kimya sana?

Vijana wetu wa IT huko vyuoni wanafanya nini? Mbona kimya sana?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science, computer engineering, IT, n.k.

Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu.

Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.

Pirika pirika hizi ni mwanafunzi wa chuo fulani katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu.

Mwanafunzi fulani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.

Wanafunzi wa chuo fulani wanapiga pesa kwenye internet.

Migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.

Hatusikii hata wanafunzi watukutu wametungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks.

Kimya sanaa, kumepoa mno.
 
kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science , computer engineering, IT, n.k.

Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu

Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.

Pirika pirika hizi ni

mwanafunzi wa chuo flan katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu

tovuti flan zimetunguliwa (hacked) na zimeweka ujumbe flan, mfano unaingia website ya mikopo unakutana na bango wanafunzi wanataka mikopo zaidi

Mwanafunzi flani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT ya Africa.

Wanafunzi wamitungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks
Bado wanasoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science , computer engineering, IT, n.k.

Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu

Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.

Pirika pirika hizi ni

Mwanafunzi wa chuo flan katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu

Tovuti fulani zimetunguliwa (hacked) na zimeweka ujumbe flan, mfano unaingia website ya mikopo unakutana na bango wanafunzi wanataka mikopo zaidi

Mwanafunzi flani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT ya Africa.

Wanafunzi wamitungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks
Kuna chuo kimoja juzi wanafunzi waliidukua na kulipa ada hewa..
Zaidi ya wanafunzi 200...hukusikia?
 
kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science , computer engineering, IT, n.k.

Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu

Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.

Pirika pirika hizi ni

mwanafunzi wa chuo flan katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu

Mwanafunzi flani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.

migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.


Wanafunzi wamitungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks
Wanangoja DP World waje waombe kazi.
 
Back
Top Bottom