R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science, computer engineering, IT, n.k.
Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu.
Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.
Pirika pirika hizi ni mwanafunzi wa chuo fulani katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu.
Mwanafunzi fulani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.
Wanafunzi wa chuo fulani wanapiga pesa kwenye internet.
Migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.
Hatusikii hata wanafunzi watukutu wametungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks.
Kimya sanaa, kumepoa mno.
Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu.
Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.
Pirika pirika hizi ni mwanafunzi wa chuo fulani katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu.
Mwanafunzi fulani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.
Wanafunzi wa chuo fulani wanapiga pesa kwenye internet.
Migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.
Hatusikii hata wanafunzi watukutu wametungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks.
Kimya sanaa, kumepoa mno.