toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Mzee yupo wavuni hadi leo, mwingine katoka kama miez saba imepita tena hadi simu alinipigia me hata jela nlikuwa sitokei kuwaona nliogopa wasije wakaropoka kuwa computer nyingine ilikuwa yangu, alafu sasa chakushangaza huyu alotoka juz ni kaishia form 4 kasoma kozi zake onlineDaah asee imeniuma sana ila ndo hivyo tena ni kifungo cha maisha au?.
M300 sio poa