Vijana wetu wa IT huko vyuoni wanafanya nini? Mbona kimya sana?

Vijana wetu wa IT huko vyuoni wanafanya nini? Mbona kimya sana?

Yes ipo wana wireless controllers and they distribute across campus and few classes.
I think shida wengi wanawaza games muda mwingi and not developing themselves
Kama ni mtu wa kusoma hadithi mtandaoni na kuangalia video za tikitok basi unaweza kuwalaumu hawa vijana.
- Kama ushawahi kufanya issue za ku-make money online utaona ilivyokuwa ngumu kwa developer na kuamua kukaa kimya tu na kufanya mambo mengine.
Kuna jamaa ametengeneza tool ya kuunlock simu ila mpk namhurumia, inatia hasira na inakera.
Tanzania ni nchi ngumu sana ya kuishi ila kwasababu watu hawajui IT wanabaki kutoa lawama kwa maIT ila hawajui kinachowasumbua mpk wakakaa kimya.
Mimi mwenyewe nateseka sana linapokuja kwenye issue ya malipo.
Paypal ni tatizo
 
kibongo bongo kozi za kompyuta tushazoea kuziita kozi za IT ikiwemo computer science , computer engineering, IT, n.k.

Maisha ya sasa teknolojia ipo mbali sana na tunatembea, smartphones, internet, apps, n.k. zimekuwa sehemu ya maisha yetu

Hapa bongo pametulia mno utadhani hatuna wanafunzi wa hizi kozi, hakuna pirika pirika.

Pirika pirika hizi ni

mwanafunzi wa chuo flan katengeneza app hasa inayoendana na mazingira yetu

Mwanafunzi flani kafikia hata robo fainali ya mashindano ya IT kimataifa.

Wanafunzi wa chuo flani wanapiga pesa kwenye internet

migomo ya mtandaoni, mfano vifurushi vilipopanda bei tovuti mojawapo ingetunguliwa, ukiingia unakutana na bango likilaani vifurushi kupanda bei inaathiri kusomea mtandaoni.

Hatusikii hata wanafunzi watukutu wametungua system ya chuo wameiba mitihani ama kubadili marks

Kimya sanaaa, kumepoa mnoooo
Bahati mbaya ni kwamba aliyesoma cs pia anasikiliza ushauri wa mjomba anayelima kahawa kilimakyaro ......
 
Kumbe bongo hairuhusu PayPal duuh sikujua asee
Unatengeneza app na unataka kuiuza, sasa tatizo la malipo, unafanyaje sasa?
Mfano App yako unataka uuze kwa 3 USD. Sasa njia ya malipo ndiyo shida, haurusiwi kupokea pesa kwa Paypal. App yako ni nzuri ili usiendelee kupata hasara, unaamua kufanya mambo mengine.
Hii nchi ngumu sana, mwenyewe kuna hela unaziangalia tu
 
Kama ni mtu wa kusoma hadithi mtandaoni na kuangalia video za tikitok basi unaweza kuwalaumu hawa vijana.
- Kama ushawahi kufanya issue za ku-make money online utaona ilivyokuwa ngumu kwa developer na kuamua kukaa kimya tu na kufanya mambo mengine.
Kuna jamaa ametengeneza tool ya kuunlock simu ila mpk namhurumia, inatia hasira na inakera.
Tanzania ni nchi ngumu sana ya kuishi ila kwasababu watu hawajui IT wanabaki kutoa lawama kwa maIT ila hawajui kinachowasumbua mpk wakakaa kimya.
Mimi mwenyewe nateseka sana linapokuja kwenye issue ya malipo.
Paypal ni tatizo
Safaricom....ina mawakala kibao wako posta na hawana kazi boss.
 
Ni kwaajil ya masomo,unaweza Soma kozi unayotaka online nchi yoyote iliyoruhusiwa,Sasa wewe unatafuta malay.a wa buguruni au kina baa🤔hapo kwa bando la chuo,hapana🤣🤣wamechuja hizo content 🙏
😂😂😂😂😂
 
Umejaribu malipo ya blockchain mkuu
Natoa huduma mtandaoni, Kuna mtu yupo Algeria, Ivory coast au Ghana ambaye ni mwananchi wa kawaida.
Ukianza kumtajia blockchain anaona km unamtapeli hivi.
Paypal ni njia ya rahisi sana, mtu aliyeopo Kenya, Burundi, Rwanda, Zambia, Zimbambwe, Uganda, Sudan kusini na Madagascar anakutumia hela moja kwa moja kwenye laini ya simu
 
Knowledge tuu boss.....sheria hazifanyi kazi bongo
Wakikufaka zinafanya mkuu, me nimepiga LINUX yan site nyingi za bongo zipo na loophole kabao ila sasa wakijua ip adress yako wanakusumbua mkuu, sisem kama naropoka hapa nasema nikiwa na hands on experience ya jamaa namjua lidakwa yupo wavuni….
 
Ushawahi jaribu kuitumia na kuifanyia malipo?
Kenya wanatumia paypal boss....mimi nipo bongo ila nna account ya paypal...km kutoa pesa ni shida we have binance p2p....zile usd ulizolipwa via paypal unauwezo wa kununua usdt via p2p na kisha ukazibadilisha kwenda fiat via usdt selll....I stand to be corrected
 
Ukisema utumie tor browser mkuu? Ip address inafichwa
I know mkuu, nna computer ina linux na hayo mazaga tu, kwaajili ya kuingia kwenye top level domains hizi za .onion ili nione wanafanyaga nini huko sababu ukitumia comp yakawaida hawachelewi kukuvurugia mifumo, makatili wengi huko
 
Wakikufaka zinafanya mkuu, me nimepiga LINUX yan site nyingi za bongo zipo na loophole kabao ila sasa wakijua ip adress yako wanakusumbua mkuu, sisem kama naropoka hapa nasema nikiwa na hands on experience ya jamaa namjua lidakwa yupo wavuni….
linux sio suluhisho mkuu.....vipi ulishawahi kutumia tails.....
 
Inafanyaje kazi boss?
Nipe ABC
Kenya kuna paypal...na kujisajili inahitaji mpesa account....na si nyingine ni ya safaricom......tafuta simcard ya safaricom jisajili.......wakala wa kutoa pesa wamejazana posta....kama iko shida ingia binance p2p uza usd kwa kununua usdt via email ya paypal kwa verified merchants...utakapopata usdt tafuta mawakala wa kibongo uwauzie wakupe fiat ya tshs...hii ni loophole pia
 
Hamna sio ishu zangu ila mi ni mfuatiliaji tu ninesema parrot maana hiyo ndo mostly updated version ina features nyingi tamu na ni some how easy to understand linux ya kawaida naona command zake kama zina ugumu flani hivi!! 🤔
Yan parrot ndio ipo juu kabisa katika debia distribution na ina features nyingi kuliko hata kali linux na mazingira yake ya sehemu inayoweza kurun yamepunguzwa makali kidogo mfano ili u run kali linux lazima ram ianzie gb moja lakin parrot yenyewe hata mb 500,
 
Back
Top Bottom