mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
uko must wewe??Connected, no internet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko must wewe??Connected, no internet
Tatizo hapo Must wanadownload sana speed inakuwa ndogo,wifi whatsapp unaingia kwa shida🚮🚮
umefika must wewe
Just,imagine group discussion ya not less than 10 scholars wanategemea simu ya mtu mmja au wawl group zima,ndio mwenye data naye less than 1GB hapo kafanya data restrictions ya kila kitu ili wapate data za Ku Google studying materials! It's a shame.Wana roho mbaya tu. Kwa dunia ya sasa hakuna chuo kitapangiwa data kwenye budget yake.
Mijitu inayoongoza vyuo ni mijinga. Ndiyo mimi husema siku hizi Watanzania ni "uneducated fools from uneducated schools".
Hapana.uko must wewe??
Ni ujinga kutokuwapa free Wi-Fi zones vyuo vikuu miaka hii ya AI.Just,imagine group discussion ya not less than 10 scholars wanategemea simu ya MTU mmja au wawl group zima,ndio kwenye data naye less than 1GB hapo kafanya data restrictions ya kila kitu ili wapate data za Ku Google studying materials! It's a shame.
Umeelewa nilochoandika aua umekuja na option zako.Ni kwaajil ya masomo,unaweza Soma kozi unayotaka online nchi yoyote iliyoruhusiwa,Sasa wewe unatafuta malay.a wa buguruni au kina baa🤔hapo kwa bando la chuo,hapana🤣🤣wamechuja hizo content 🙏
Kabsa sikupingiWana roho mbaya tu. Kwa dunia ya sasa hakuna chuo kitapangiwa data kwenye budget yake.
Mijitu inayoongoza vyuo ni mijinga. Ndiyo mimi husema siku hizi Watanzania ni "uneducated fools from uneducated schools".
At least,serikali itoe ofa ya GB kadhaa kila mwezi kwa mwanafunzi wa chuo kama ruzuku atakayenunua kifurushi cha bei kadhaa hata ikiwezekana bure kabisa 10GB kwa laini moja ya kila mwanachuo kila mweziNi ujinga kutokuwapa free Wi-Fi zones vyuo vikuu miaka hii ya AI.
Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Hakuna cha offa ..At least,serikali itoe ofa ya GB kadhaa kila mwezi kwa mwanafunzi wa chuo kama ruzuku atakayenunua kifurushi cha bei kadhaa hata ikiwezekana bure kabisa 10GB kwa laini moja ya kila mwanachuo kila mwezi
Mtu ana maarifa ya IT anaogopa kudakwa vp sasa, hapo sanasana ni mweupe tu
🤣🤣🤣🤣 We muongo ww aseeunikumbuke kwenye ufalme wako kijana wa IT hapa ndo naingia 3rd year😂
naingia 3rd year november🤣🤣🤣🤣 We muongo ww asee
🤣 Duuh 3rd year diploma au degree 🤔naingia 3rd year november
Ok. Sawadiploma,
siendelei.
Mbona Mlimani kulikuwa na free wi-fi miaka hiyo,vipi haipo tena?Kwanini vyuo visiwe na free WiFi Kwa wanafunzi?wachangie kupitia Ada??
Inasikitisha Sana aisee tunaenda tunarudi nyumaMbona Mlimani kulikuwa na free wi-fi miaka hiyo,vipi haipo tena?
hapa mwecau ni private na wifi ipo mbona?Wifi zipo vyuo kibao vya serikali.
ila kwa hivi vya private vingi hawaweki kupunguza gharama