Huwa wanatisha sanaUpo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
Unatumia ID nyngneSawa!sina akili!ndo mana genius umekuja hapa kunijibu
Pole sana Mkuu sipati picha hiyo siku ulitamani ardhi ipasuke uzameNakumbuka nipo kwenye U.E Mi hata niwe nimesoma vip lazima niingie na mgombea mwenza kibomu. sa siku hiyo nawaangalia crew yangu wanajifanya wanaelewa et dk za mwisho ndo wanajifanya wanasolve na vitu vinasogea mi huwa sipendi mambo ya kujaribu maisha. Tumeingia wamekuta mambo kama miujiza tu vitu havieleweki, halaf maswali kama matatu hivi nnayo kwenye kibomu , nikawaambia nnayo mazee, wakataka niwaonyeshe nikawarushia vibomu shughuli ikaingia mchanga kibomu hakijafika kimeishia katikati Aiseee pale ndo niligundua rafiki wa kweli ni baba na mama yani kila mtu aligeuka upande wake kwamba hataki kujihusisha kisa kimeanguka vibaya eti...
Ila engineer mkuu hahaha daah ila we jamaa mi sina neno ngoja nikae kimya .....Wakuu Baba Swalehe na mkuu Theriogenology salaam kwenu.
Nimepitia maongezi yenu hapo juu, nimeshangazwa jinsi mlivoichambua Chemistry from atomic to molecular level kama vichaa vile... Yaani nimewapenda bure...
Kumbe nyie mazee ni vipanga wenzangu kabisa yani (hatutazami matokeo ya cheti, bali masomo ulosoma).
Sasa nimebaki najiuliza hapa iweje mkawa mnashangilia kuwa team MAPUGI huku mtabe mwenzenu nikiwa nabwekewa na mbwa majike-dume (MAPUGI).
By keeping other variables constant, rasmi leo hii nawatoa na kuwafuta kabisa kwenye banda ya MAPUGI. Nyie ni watabe... Wababe. Mmepita shule.
Sasa hapo unakuta mwandiko wako ni mwembamba kama wangu. Hata uandikeje, ukijitahidi sana unajaza pepa moja tu. Ila mwingine akija kuyakopi anaeza andika hata karatasi mbili na nusuInabidi uandike muandiko mkubwa ili uende nae sawa katika uchukuaji wa makaratasi
HaaahaaaaNakumbuka enz hizo pandahill kuna ticha mmoja mlevi alisahisha marking scheme yake akapata 47 .. Aljsahau ... Alkua anasahisha huku amelewa ... Siku anakuja kugawa pepa ... Wa kwanza nan huyu hajaandika jina ... ***** hahaa kumbe ni yeye
Hali ya kawaida.Aisee !! Mi nilikuwa napiga bao kabisaaa, pia kuna siku nililetewa taarifa kwamba nyumbani nimeibiwa, ile hali ya kua na haraka kuwahi home nikajikuta napiga bao
Haha..jamaa alicheza kama pele[emoji16] [emoji16] [emoji16]Hahahhh...huyo mshikaji noma saana...Duuh.
Mi nakumbuka mshikaji mmoja alikuaga baunsa, aliingia na kibomu knye test ya programming akaweka chini ya question paper. Sasa katika kupitapita, lecturer akakiona kinachungulia chini akapeleka mkono kwenda kukichukua... Weeeee.. Huyo mshikaji alimkata jicho halafu akabana ile question paper na kiwiko. Daaah sikuamini macho yangu, yule lecturer aliogopa, ikabidi aendelee kusimama hapo hadi muda wa paper ukaisha. Baunsa akakunja question paper pamoja na kibomu ndani akatoka.
Matukio mengine yanahitaj ujasiri wa kuzaliwa au kuvuta bange, maana....hatare sana
Mkuu mimi tangu nimeanza kusoma mitihani iliyonikamata kabisa ni michache mno, mara nyingi huwa namaliza kabla ya muda kwa kuwa naelewa nijibu nini japo ufaulu wangu ni wa wastani.Muda wa kulala kwenye mtihani unautoa wapi..
hizi ni chai tu
Huyo jamaa unayemuongelea anaitwa mndewa alikua mzee wa kupiga ndondo cbe hiyo siku alichubuka ile mbaya, utakua umesoma juzi juzi baada ya tent kujengwa!tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
Mimi mtihani ukinijia vizuri ndio utapata sana, kwani kama ninatakiwa kufanya maswali matano nitafanya saba mwisho nakata mawili kulingana na uzito wakeMkuu mimi tangu nimeanza kusoma mitihani iliyonikamata kabisa ni michache mno, mara nyingi huwa namaliza kabla ya muda kwa kuwa naelewa nijibu nini japo ufaulu wangu ni wa wastani.
Hahahaha aiseeee.....kuna jamaa yangu alikuwa na tabia hiyo...anafanya maswali meengi then anachagua eti ni yapi amejibu vizuri zaidi. Kuna watu mko tofauti sana aseeeeMimi mtihani ukinijia vizuri ndio utapata sana, kwani kama ninatakiwa kufanya maswali matano nitafanya saba mwisho nakata mawili kulingana na uzito wake
haaaah haaaah wew jamaaa daahtukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh
sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu
nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea ππππ
Huyo jamaa unayemuongelea anaitwa mndewa alikua mzee wa kupiga ndondo cbe hiyo siku alichubuka ile mbaya, utakua umesoma juzi juzi baada ya tent kujengwa!
ππππ kuna jamaa hapo kanikumbusha jina la huyo jamaa alikuwa anaitwa mndewa kala sana hela za watu wa CBE ila hyo siku zilitaka kumtokea puani πππhaaaah haaaah wew jamaaa daah
yaan hilo somo limeniharibia maisha kwa kwel... maana somo kama BIOLOGY nilikuwa nalipasua sio chini ya 70... hapo nimefeli mwendo wa 85 kwenda mbele.. sasa ilikua kazi bure wakati MATHEMATITI napata 3.. ikizid sana 5Hahahaa kwahiyo wewe ulikuwa unacheza na sifuri tu kwenye namba?