Hahahhh...huyo mshikaji noma saana...Duuh.
Mi nakumbuka mshikaji mmoja alikuaga baunsa, aliingia na kibomu knye test ya programming akaweka chini ya question paper. Sasa katika kupitapita, lecturer akakiona kinachungulia chini akapeleka mkono kwenda kukichukua... Weeeee.. Huyo mshikaji alimkata jicho halafu akabana ile question paper na kiwiko. Daaah sikuamini macho yangu, yule lecturer aliogopa, ikabidi aendelee kusimama hapo hadi muda wa paper ukaisha. Baunsa akakunja question paper pamoja na kibomu ndani akatoka.
Matukio mengine yanahitaj ujasiri wa kuzaliwa au kuvuta bange, maana....hatare sana