Thanks ....i will make the best of it!wasalim airtelMtoto anam-miss mama ila haya majibu yenu yananishangaza mpaka basi. Kwa hiyo wewe huleti mke mwingine kwa sababu mke wako atalia? If he is real your friend, make the best of it. Teach him principles. Mtoto akikuuliza kitu mwambie ukweli wa hicho kitu hata kama si ukweli wako. Akihoji ukweli wako ndo ujieleze.
Ndyo sureMiaka 10 form three mkuu?
Watoto wanafundishika. Ukimkanya kitu kwa karipio, hatathubutu kukirudia. Tabia ya kulea watoto kama mayai ndiyo inayo waharibu.
Miaka 10 form ngap?ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
[emoji23]bado umepanga mkuu?
inategemea, ni lazima utakuwa umevaa fresh pia una mawe mfukoni ama kwa pochi na mkononi una smartphone iphone 7 plus la nguvu!!. This is natural bila maelezo ya ziada.Kuna watoto wengine wanachagua watu..akiwa analia ukitokea wewe ananyamaza na anakukimbilia umbebe!!
Huyo mtoto ni mdadisi sana. Hilo hayo maswali ya "nani" na "anasemaje" yanafurahisha sana.Miye wangu anapenda kufuatilia naongea na nani, utamsikia 'nani" namjibu rafiki yangu, atauliza tena anasemaje??? Nilichogundua yupo katika umri wa kuhoji, she is 2.4. Yaani kuna wakati nawaza sijui katumwa na mama yake anifuatilie nazungumza na nani!!!
Na tangazo la airtel kuna vikatuni vinaobesha vidole viwili analipenda hatari.
Mmh yupo standard three au 4rm three?? Hapa hapa Tz au inamaana Elim ya msingi alimaliza akiwa na miaka 7??ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Dah inauma sana, hawajui jinsi gani mtoto alivyokuwa na juhudi. Hakustahili kuadhibiwa yeye.Siku ya Jumamosi alfajir mwanangu 5yrs aliamka saa kumi na moja. Akasema wanamitihani ya kufunga nusu mwaka.
Mke wangu akamuomba alale kidogo kwamba muda bado. Akaamka around saa mbili kasoro. Akagundua ilikuwa weekend
Jumatatu akaingia darasani kama kawa ile narudi jion nakuta taarifa alirudishwa ada sh 20000/ Roho iliniuma sana malaika huyu. kutoka Mil 1.2 kwa mwaka 20 elfu unamfukuza mtoto?
Kwa sasa namuhamishia shule nyingine
mmmmh wewe sidhani kama tupo pamojainategemea, ni lazima utakuwa umevaa fresh pia una mawe mfukoni ama kwa pochi na mkononi una smartphone la nguvu!!. This is natural bila maelezo ya ziada.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuliotelekeza mimba haituhusu hii
Mtoto wako anatazama movie kama za bongo movie ndio maana amejua kuna kitu kinaitwa mimba na kuolewa au amejifunza kutoka kwa watu. Katika umri huo ni mapema mno kufikiria mambo hayo.Huyu dogo an 3Yrs
#1. Siku moja aliniambia "Baba nataka kuolewa"... Nikamuuliza unataka kuolewa na nani akanijibu " na wewe"..... Nikapigwa na butwaa.
#2. Siku nyingine akaniambia "Baba nina mimba".... Nikajifanya kama sijamsikia.
#3. Siku nyingine akaja na ua anaiambia "Baba ua la bibi harusi".
#4. Siku moja nilienda naye nyumbani akamuuliza baba yangu " Babu wazazi wako wapi?.... Baba akamjibu " wamefariki"... Dogo akasema "unaishi vipi bila ya wazazi".
Hayo ni machache