haubikwetu
Member
- Apr 13, 2017
- 24
- 46
Watoto wanafundishika. Ukimkanya kitu kwa karipio, hatathubutu kukirudia. Tabia ya kulea watoto kama mayai ndiyo inayo waharibu.Da
Dah me hilo swala la kuchora ukuta nimepiga kelele hadi nimeamua niachane nalo achore hadi atakapopata akili ndo nipake rangi upya
Mwenye nyumba kobe na konokono wengine wote wapangaji....kama huamini subiri ukuwe utanielewa vizuri.bado umepanga mkuu?
HakyaMukunaviatu watu na viatu. Teh teh!ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Hongera sana mkuu mwanao alianza chekchea soon baada ya mama ake kutoka labor mwaka 1 bdae akaanza la kwanza baada ya miaka 7 akiwa na umri wa miaka8 akamaliza la7 na kuanza form1 mwaka uliofuata na sasa yuko form 3 akiwa na miaka10...ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Hahaa. Ila utoto raha sana tuacheni utani.Wangu nitofauti yeye huwa anachora kweny rim paper zake afu abandike ukutani ukibandua kazi ipo
Dah mkuu tatizo sisi hatushindi home mda mrefu sasa unarud unakuta amechora ukuta unamaaliza dada anasema ni mtoto,utamfokea baada ya siku mbili unakuta kachora tena bt uzur anachora vitu walivyofundishwa sema tu anachora sehem ambayo sio sahihiWatoto wanafundishika. Ukimkanya kitu kwa karipio, hatathubutu kukirudia. Tabia ya kulea watoto kama mayai ndiyo inayo waharibu.
Hahahahahamtoto wa sister angu akisikia nyimbo ya hainaga ushemeji hata kama kalala anaamka kisha atacheza
cha kike[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo mtoto wa kiume au wa kike mkuu?
Hataaa Mimi sijamuelewa kwakweliMkuu sijaelewaa hapo..
Alianza shule with zero year. Labda awe alivushwa madarasaa
Mwenyezi Mungu atakujaalia mtoto na wewe utakuwa na furaha.Bahati mbaya bado sijabahatika
Dah..pole ndugu...Wangu sijui angekuaje, ametangulia mbele ya haki, katakua mbinguni kanacheza huko...
Asanteeee.. Mzima kabisaaaa, Nina zawadi yako ya birthdayHahaaa. Hata nami nilikumiss baba. Pole pia hongera kwa kuwa umefanikiwa kuibuka hujazama moja kwa moja.
Mzima lakini?
Baadae nitaipitia usijali. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Asanteeee.. Mzima kabisaaaa, Nina zawadi yako ya birthday
lil manHahaaa. I could talk about my kids the whole day.
Yule mkubwa wa almost 5 years ni mpole na ana hurumaaa. Pia anapenda sana ufugaji na ameshajua kuchanganya vyakula vya kuku. Anawajua kuku wake wakiumwa, anajua kuandika numbers kwenye kila yai linalotagwa na kuliondoa bandani. Pia anajua kufatilia aina ya kinyesi cha kuku kama ni cha kawaida ama ni cha kuumwa.
Mdogo wake anaekaribia miaka 3 ni mtundu na mbabe. Yeye anapenda magari na ufundi. Yaani umuoneshe video ya magari kwenye simu imekula kwako huna jinsi ya kujitoa atakavyotupa tantrums.
Wengi hupenda kusema nampendelea yule mkubwa lakini sio kweli. Ni rahisi kumuonea kutokana na sura yake ya kipole na huruma aliyonayo so nikisikiaga nywiiii amelia basi nageukaga chui. Because the lil man can surely take care of himself.
poleDaahh... Asingetoa ujauzito wangu leo na mimi ningekuwa na chakusimulia jinsi mtoto wangu alivo
Hapana ndugu yangu...sio wote tuliopitia huko...baadhi yetu wazazi watu bado walikuwa wanadhima ya ukoloni...ndo maana ukaribu na wazee wetu haukuwa kiivyo...ni kipigo kwa kwenda mbele mpaka dada wa kazi alikuwa na mandate ya kugawa dozi...kimbilio angalau lilikuwa kwa mama...nakumbuka tv ilikuwa inakaa kwa mshua...na mpaka arudi yeye ndo anaiwasha...lakini leo mambo ni digitali..mtoto anajichagulia channels za kina Scooby doby mbele ya wazazi na bado fresh tuNdio hivyo inatakiwa wadada wakazi wawe na mioyo yao mana kila saa inabidi asafishe.
Na kuna wale wanaopenda kuchezea maji kila saa anataka maji ya kunywa kumbe anataka ayachezee. Yaani ni kazi aisee.
Ila hatuna budi kushukuru kwa yote mana hata na sisi tulipitia huko hivyo tuwavumilia wakikua wataacha.