Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

Kwenye uchaguzi huru watanzania wangemshangaza sana
 
Dawa yenu nu katiba mpya na tumr huru.

Hii nchi ni yetu sote
 
Hivi nani anaweza dhani Samia anaweza kumfuta kazi mtu kama January? Au Nape? Sioni kitu kama hiki kwa Samia.
 
Nisiunganishe watu kiujumlajumla na nani?
Sema usiniunganishe.
Usivamie watu, kama ulivyonivamia mimi, na kuwajumuisha kijumlajumla.

Ukimvamia mtu na kusema kasema hivi, akikuuliza lini, wapi, kwa nukuu ipi, unatakiwa uweze kumpa hiyo nukuu.

Bila hivyo utakuwa mtu mzushi na muongo.
 
Tupe maoni yako Kwanza ili tuende sawa,sii kutupa mawazo ya wengine tuu.
 
Wakwamia mahali fulani poleni wote,na tuianze safari mpya kwashida na raha tuyakubali yote.
 
Kama ni mwendawazimu, basi mpuuzeni msimuongelee. Lkn a wapi. mnachoonga juu yake na kufanya apae juu.
Maajabu ya Dunia lazima yaongelewe, SHUJAA anafaili Mirembe . Ushangai wewe..
 
Wanazidi kumuweka juu juu bila wenyewe kujua.
😍😍😍
Acha tushangae mkuu kuongozwa na Mwendawazimu sio kitu kidogo. Hatutasahau na hatutaacha kusema, alikua KICHAA na anafaili lake Mirembe.
 
Usivamie watu, kama ulivyonivamia mimi, na kuwajumuisha kijumlajumla.

Ukimvamia mtu na kusema kasema hivi, akikuuliza lini, wapi, kwa nukuu ipi, unatakiwa uweze kumpa hiyo nukuu.

Bila hivyo utakuwa mtu mzushi na muongo.

wee ni nani bana mpaka tusikuvamie mzima mzima???
 
wee ni nani bana mpaka tusikuvamie mzima mzima???
Wewe lazima uni vamie mzimamzima kwa sababu hiyo ndiyo strategy yako ya kupata kick.

Yani mimi kukujibu ushafanya mtaji.
 
Kila watu wanapojaribu kuchunguza kama kuna uwepo halisi wa "legacy" wanapata majibu yenye utata. Mwisho wanajikuta wanakubaliana na kauli pinzani ya "tuna Rais wa ajabu kuwahi kupata kutokea hapa nchini toka nyakati za uhuru" ama ile ya "nchi kuongozwa na washamba na malimbukeni"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…